Africa Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,504
- 2,272
- Thread starter
-
- #161
Mkuu, hv hizi Mark ii grande Gx 110 ulaji wake wa mafuta ukoje ikiwa kuna foleni na full Ac!!?[emoji3][emoji3][emoji119][emoji119][emoji3][emoji3]uzuri wa dunia ya sasa data zipo kiganjani...
7-8km/l laf road na 10km/l highwayMkuu, hv hizi Mark ii grande Gx 110 ulaji wake wa mafuta ukoje ikiwa kuna foleni na full Ac!!?
Ahsante mkuu! Gari naipenda sana hii, ila inasemwa vibaya sana kwenye utumiaji mafuta hadi naiogopa[emoji2297]7-8km/l laf road na 10km/l highway
Mkuuu humu utakatishwa tamaa, ukijar service na kuitumia vzr inaweza kukupa mpk 9-10km mjini na 11-13km/l highway. Nna uhakika mzee ana gx100. Litre4 inaenda mpk 45kmsAhsante mkuu! Gari naipenda sana hii, ila inasemwa vibaya sana kwenye utumiaji mafuta hadi naiogopa[emoji2297]
Shukrani mkuu!Mkuuu humu utakatishwa tamaa, ukijar service na kuitumia vzr inaweza kukupa mpk 9-10km mjini na 11-13km/l highway. Nna uhakika mzee ana gx100. Litre4 inaenda mpk 45kms
Mkuu hivi engine ya Verosa ikoje?
Labda waliswap wakatia engine ya mark 2 ile 1G-FE!Brevis ya Cc2000 haijawahi kutengenezwa tangu dunia iundwe mkuu.,unless mli-swap.
Verossa nyingi ni Beams 2000 ambayo ni engine ile ile ya mark 2 ya code 1G-FE 2000cc! Chache zina engine ya brevis ya 1JZ -FSE ile ya 2500ccMkuu hivi engine ya Verosa ikoje?
-six cylinder au four cylinder
-inakula wastani wa km ngapi kwa lita
-msaada plz
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Brevis mchanganyo wake ni hatari, raha ipo kwenye 6 cylinder bana asikwambie mtu kitu. Chuma ikiwa silencer tu ni burudani...Watanzania wengi tuna kipato cha kawaida. Brevis, xtrail si magari yetu maana yanahitaji utunzaji mzuri na ni gharama.
Nunua rav 4 old model, gx 100, 110 hayo hata ukikosea ukaweka oil chafu hakuna tatzo litaenda tu. Esp rav 4 old Halina masensor mengi. Binafsi silipendi maana lipo kama upo kwenye sufuria, sio comfortable kabisa ila nakushauri nunua hilo hata mjukuu utamrithisha.
Mm ningenunua xtrail au brevis nipambane maana nataka nafasi na utulivu ndani ya gari. Gharama nitapambana na gari ni mkono wangu tu.
Ukiona gari imefikia hapo ujue oxygen sensor,fuel filter au plug zina shida. Lazma ukague mfumo wa uchomaji ukirudishia vipuri vipya inarudi kama ilivyotoka kiwandani. Itakupa 8-10km/l ukiwa town trip na highway inaenda 11km/l au zaidi.Wanasema rough road inatembea kwa 1l/4km ina ukweli!!?
itakuwa ndege ileBrevis ni nini?
hivi GE ni economical eeh, sio kama FSE?Ameswap na 1GFE itakuwa.... Engine inapendwa hii lakini mie ndio nimeishusha na kuweka 2jzge
Waoga wa kwenda Sheli hao! 🤣🤣🤣Wabongo sio wabahili ila wabongo wapenda starehe!
Mbongo anakunywa pombe kila siku 15000 kiwango cha chini,
Ila kwenye mafuta ya gari anakwambia gari inakula mafuta.
Kila kitu kina hasara na faida, cha msingi kipaumbele chako!
Maana huwezi kuwa na gari dar! Lakini ukitakwa kwenda katavi unajiuliza kama gari utarudi nayo.
Achana nakitu inaitwa GX110 au 100 mzee!
Mafuta ni mfuko wako tu.
Kama unaogopa mafuta nunua pikipiki.
Brevis gari ya safari, inakupasa uwe na baby walker moja na mnyama. Ukiwa mjini endesha kigoda tu kama Swift au Vits ili kuepusha lawama.Kwa matumizi ya daily mjini na foleni labda ndo wengi wanalalamika mafuta ila kama ulivosema ni gari moja unaenjoy kuendesha ...kwa safariiii unaenjoy zaidi
Brevis gari ya safari, inakupasa uwe na baby walker moja na mnyama. Ukiwa mjini endesha kigoda tu kama Swift au Vits ili kuepusha lawama.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Hiyo tuiache kwanza mkuu!BMW mbna sioni mmmmmh
Kwahiyo ulaji wa mafuta ni 7-8km/l?Verossa nyingi ni Beams 2000 ambayo ni engine ile ile ya mark 2 ya code 1G-FE 2000cc! Chache zina engine ya brevis ya 1JZ -FSE ile ya 2500cc