Watanzania wengi tuna kipato cha kawaida. Brevis, xtrail si magari yetu maana yanahitaji utunzaji mzuri na ni gharama.
Nunua rav 4 old model, gx 100, 110 hayo hata ukikosea ukaweka oil chafu hakuna tatzo litaenda tu. Esp rav 4 old Halina masensor mengi. Binafsi silipendi maana lipo kama upo kwenye sufuria, sio comfortable kabisa ila nakushauri nunua hilo hata mjukuu utamrithisha.
Mm ningenunua xtrail au brevis nipambane maana nataka nafasi na utulivu ndani ya gari. Gharama nitapambana na gari ni mkono wangu tu.