Gari kubwa (Fuso) latumbukia kwenye maji baada ya kudondoka kutoka kwenye Kivuko, Julai 18, 2022

Gari kubwa (Fuso) latumbukia kwenye maji baada ya kudondoka kutoka kwenye Kivuko, Julai 18, 2022

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607

Gari la mizigo aina ya Fuso limetumbukia kwenye maji wakati lililopokuwa limebebwa katika Kivuko cha Kyanyabasa kilichopo Wilaya ya Bukoba Vijijini Mkoani Kagera.

Shuhuda wa tukio hilo lililotokea katika Mto Ngono, Datsun Zacharia amesema: “Hakuna mtu aliyepoteza maisha wala kujeruhiwa

"Chanzo ni kuwa mwendesha Kivuko alimwambia dereva wa gari arudishe nyuma kidogo ili Kivuko kikae sawa, alipofanya hivyo gari likateleza na kuingia kwenye maji, gari halikuwa na miziko, dereva aliokolewa na hakuna aliyejeruhiwa."

Chanzo: Millard Ayo
 
Duh ajali mbaya sana ni gari kutumbukia majini alafu mtu/watu wakiwemo ndani ya hilo gari.
 
Gari la miziko aina ya Fuso limetumbukia kwenye maji wakati lililopokuwa limebebwa katika Kivuko cha Kyanyabasa kilichopo Wila ya Bukoba Vijijini Mkoani Kagera kilichopo katika Mto Ngono.


Chanzo: Millard Ayo
Kwanza mto wenyewe unaitwa ngono alafu gari imedumbukia hmo hasa sehem ya kichwa ndo imeingia chini zaidi 🤔🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom