CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
Acheki pia na ball joints, some times huwa zinazingua pia
Habari wanajamii. Nina tatizo wandugu. Gari yangu imekuwa na tabia ya kutetemeka engine kiasi kwamba hadi stealing inatetemeka. Hii hutokea hasa nikiwa nimesimama. Gari ikitembea haitokei. Nimejaribu kucheki na baadhi ya mafundi ila hamna mafanikio. Gari niliagiza japan na tatizo lipo toka nimelinunua. Naomba msaada wenu kama kuna ameshapata masaibu haya na vilevile labda Fundi ambaye anaweza nisaidia.
Ahsanteni wandugu
Mara nyingi ball joints zinakupa noma mtu ukiwa kwenye speed ndogo na hasa kwenye matuta au bonde kidogo ndio zinaitika...ukiwa kwenye speed kubwa walaa,sijui kwa nini...hebu mafundi mliomo humu mtuambie kwaninihilitatizo la ball joint lilishawahi nitokea tena kidogo nisababishe ajali bahati nzuri sikuwa katika mwendo kasi
Umeona eh...magari mabovu yanafaida zake mkuu...Nimegundua kuwa wabongo wengi ni mafundi au idea ya ufundi,na hii imesababishwa na wengi wetu kuwa na magari used ambayo yanafanyiwa maintanace mara kwa mara hivyo kumfanya mmiliki wa gari kuwa na uelewa fulani wa matatizo ya gari.Big up,ni nzuri sana kufahamu matatizo ya gari kwa kiwango fulani kuliko wale wenye mahela ambao wana nunua magari mapya na yakianza kusumbua kidogo wanayauza hawataki kuumiza vichwa na mafundi.:A S wink:
Mara nyingi ball joints zinakupa noma mtu ukiwa kwenye speed ndogo na hasa kwenye matuta au bonde kidogo ndio zinaitika...ukiwa kwenye speed kubwa walaa,sijui kwa nini...hebu mafundi mliomo humu mtuambie kwanini
Kabisa maana zikiisha mtu unajua kabisa sema ubishi wetu kusogeza siku wakati unajipanga matokeo yake ndo vile zinatupa noma ambapo hujategemea...tena gx100 ndio sana haka kamchezoball joint ukiona inasumbua sana bora ubadilishe ununue mpya aisee unaweza jikuta unaendesha gari bila tairi hahahahaaaaa
Mkuu tatizo la hilo gari lako ni kifaa kinachoitwa 'Oxygen Sensor'.
Ili kulitatua tatizo hilo nenda pale Ilala nyuma ya jengo la TRA kuna fremu za used spares. Waambie waifungue Oxygen Sensor ya gari lako na waipime. Gharama ya kufungua na kuipima ni kama Tshs. 10,000. Wanauza pia used Sensors kwa bei ya kati ya Tshs. 40,000 mpaka 90,000 kulingana na mwonekano wako!
Tafadhali tujulishe yatakayojiri.
Kuna jamaa yangu mafundi wamemlia hela mpaka ameamua kukomaa nayo hivyohivyo. Ukiwa umesimama ukiweka Neutral kutetemeka kunapungua, ndivyo anavyofanya.
Habari mkuu niliwahi pata tatizo kama lako gari ilikua haina nguvu na ilikua ikitetema sana. Tena nimewahi pata mara mbili shida hii. Mara ya kwanza ilikata piston ling ikaruhusu mafuta kuingia ktk turbo ikawa inavibrate sana na kutoa moshi mweupe. Siku nyingine ikaja kichanganya oil na maji ikawa inatetema sana. Kama gar yako ni ya turbo nikuelekeze mafundi wazur ambao ndio wanatengeneza gar yangu amini ikitoka hapo tatizo linakataHabari wanajamii. Nina tatizo wandugu. Gari yangu imekuwa na tabia ya kutetemeka engine kiasi kwamba hadi stealing inatetemeka. Hii hutokea hasa nikiwa nimesimama. Gari ikitembea haitokei. Nimejaribu kucheki na baadhi ya mafundi ila hamna mafanikio. Gari niliagiza japan na tatizo lipo toka nimelinunua. Naomba msaada wenu kama kuna ameshapata masaibu haya na vilevile labda Fundi ambaye anaweza nisaidia.
Ahsanteni wandugu
Inaweza kuwa engine mountain (sijui nimepatia ndivyo inaitwa).Habari wanajamii. Nina tatizo wandugu. Gari yangu imekuwa na tabia ya kutetemeka engine kiasi kwamba hadi stealing inatetemeka. Hii hutokea hasa nikiwa nimesimama. Gari ikitembea haitokei. Nimejaribu kucheki na baadhi ya mafundi ila hamna mafanikio. Gari niliagiza japan na tatizo lipo toka nimelinunua. Naomba msaada wenu kama kuna ameshapata masaibu haya na vilevile labda Fundi ambaye anaweza nisaidia.
Ahsanteni wandugu
Nafikiri thread kama hizi hazitakiwi kwny masuala ya kitaalam kama haya!hapa hatupigi porojo tunazungumzia teknikalitiz kwny mambo ya kiufundi,ukiona huna useful comment unaweza kutulia tu ili wajuzi wa mambo wacoment na ww upate kujifunza mkuu!Itakuwa inasumbuliwa na malaria sugu hiyo.