Mkuu kilikuja kikiwa shwari tu nikapigia msele kama miezi saba after there ndo kikaanza huo mchezo, lkn kumbuka ukikweka neutral mtetemo unapotea ama ukishusha silensa pia mtetemo unapotea kiujumla epuka kudanganywa na mafundi kua spea fulani imeisha, maana mimi niliambiwa engine mounting nikachenj, ikawa vilevile, nikaambiwa plugs -ikawa no, nikaambiwa rims nikabadili so nilijikuta nafanya kila nililoambiwa na mafundi bila mafanikio. mwisho niliamua kukaaa nayo hivohivo na hata niliyemuuzia yuko Tbt anayo iko hivohivo inachapa mwendo hadi leo na hata akinipita road huwa ananipita kama nimesimama kiukweli kinakimbia na exhaust inamakelele so hua natamani nikirudishe but kishatoka. so we tulia nacho ukifika foleni put on neutral then engage D unasepa broo. Pamoja sana we kikikuchosha nisukumie bado natamani kiwe kwenye himaya yangu, i like it and i enjoy its move and size so keep it.