Gari kutetemeka

Gari kutetemeka

Wakuu na mimi gari yangu inashida hiyo, lakini pia mara kadhaa sasa taa ya check engine inawaka na ikiwaka speedometer namba hazitembei yaani inasoma zero tu huku gari inatembea. Nikisimama na kuzima na kuwasha tena hali hii inaisha. Mbali na hiyo kunataa ya ABS kwenye dash board inawaka tu wakati wote kila nikipeleka kwa mafundi tatizo haliishi la abs kuwaka initially ilikuwa haiwaki ilitokea ghafla baada ya kufunga break ghafla. Gari yangu ni NADIA na nipo songea
 
Ni starlet glanza mkuu. Yenye turbo. Fundi wengi walioiona walisema hivyo ila wakitizama wanasema sio

Aisee, watu wengi wenye starlet wanalalamika hii makitu. Inaelekea utakuwa ugonjwa mkubwa wa starlet.
 
Inategemea uko wapi!
Kama uko Arusha au Iringa basi itakuwa na baridi kali uwe unaifunika na sweta!
Kama ni Dar au Mwanza basi itakuwa na degedege! Joto lote hili?
 
Dah!!!! Hamna aliyefanikiwa kamanda

Kuna jamaa yangu mafundi wamemlia hela mpaka ameamua kukomaa nayo hivyohivyo. Ukiwa umesimama ukiweka Neutral kutetemeka kunapungua, ndivyo anavyofanya.
 
Inategemea uko wapi!
Kama uko Arusha au Iringa basi itakuwa na baridi kali uwe unaifunika na sweta!
Kama ni Dar au Mwanza basi itakuwa na degedege! Joto lote hili?

Itakuwa malaria eeeh? Sasa haiponi na haifi..... Ni kutetema tu.... Balaa
 
Kuna jamaa yangu mafundi wamemlia hela mpaka ameamua kukomaa nayo hivyohivyo. Ukiwa umesimama ukiweka Neutral kutetemeka kunapungua, ndivyo anavyofanya.

Yap. Kunasimama lakini ukirudi kwenye D mtetemo unarudi
 
Labda

1 - kutakuwa na na plug hazichomi vizuri au zimekufa
2 - mounting
3 - mfumo wa umeme
4 - valves
5 - nk
 
weka picha

ImageUploadedByJamiiForums1389983721.132720.jpg
 
Ukibadili plugs na bado kukawa na tatizo check hizo plug cables as sometimes hurusha spark nje . Hii pia ni sababu! Hata fuel consumption ni kubwa na harufu na mafuta mabichi husikika kwenye pua zako!
 
Ukibadili plugs na bado kukawa na tatizo check hizo plug cables as sometimes hurusha spark nje . Hii pia ni sababu! Hata fuel consumption ni kubwa na harufu na mafuta mabichi husikika kwenye pua zako!

Dah tatizo na mafundi wetu kazi kweli kweli
 
Hata mimi gari yangu Carina Si, nayo inatatizo hilo sijui nini chanzo tusaidieni wadau Mimi nipo Dar
 
Back
Top Bottom