hapa ndipo anaponichosha kuliko ujauzito unavyoweza kunichosha, kuna siku nilimskia eti anasema ''kigodoro cha jana kilikuwa kitamu, yani sidhani kama nitakaa nikose kwenye kigodoro''
Ukimkuta kwenye movie ana sauti ya katoto!!Ee nifah nisaidie kuita raia mnielimishe juu ya maisha ya Mfalme!
Yule bibi ana sauti nne!!kama kwaya ya ulyankuru,ukimkuta anavojibebisha kama jini mahaba utashangaa!!kuna ile ya kuongea na wanawake(ya pili),kuna ya tatu akilewa,kuna ya nne akiwa anawafanyia ukatili vijakazi!!Ni drama queen kabisaaa!!
Uwiiiiii Paula jamani acha uongo!
Naona michirizi ya Wema ndo imeshakuwa jiwe la kumpigia.....hivi wanawake wa humu hamnaga michirizi etii?
Maana naona kila mahali wanamkandia na kumcheka eti michirizi michirizi.....dah mpaka nahisi humu kuna full malaika waso na kasoro!
Anyways tambeni tu kuwananga wenzenu vile nyie mpo nyuma ya keyboard!
naanzaje kumsingizia, tena kwenye my viatu msimu uliopita, akiwa na yule shangazi yake, na ile siku alimlazimisha martin waende kwenye kigodoro sa 7 usiku?? hukuona??? alisema hawezi kosa kitu kitamu vile
wa kumpakua atawapaya wengi ila wa kuoa mmh labda akakae nje ya nchi kwa muda atampata...
Yule bibi ana sauti nne!!kama kwaya ya ulyankuru,ukimkuta anavojibebisha kama jini mahaba utashangaa!!kuna ile ya kuongea na wanawake(ya pili),kuna ya tatu akilewa,kuna ya nne akiwa anawafanyia ukatili vijakazi!!Ni drama queen kabisaaa!!
Uwiiiiii Paula jamani acha uongo!
Ile in my shoes ya kwanza sikuweza kuifuatilia vizuri...
Hata hivyo yule ni mama vigodoro tu.
Hatuna bibie,hata kama ipo tunaificha,yeye si anaianika?acha tumseme
Naona michirizi ya Wema ndo imeshakuwa jiwe la kumpigia.....hivi wanawake wa humu hamnaga michirizi etii?
Maana naona kila mahali wanamkandia na kumcheka eti michirizi michirizi.....dah mpaka nahisi humu kuna full malaika waso na kasoro!
Anyways tambeni tu kuwananga wenzenu vile nyie mpo nyuma ya keyboard!
Ni kweli aliwahi kusema hayo maneno, afta kuhudhuria kweny kigodoro flani hiv kilipewaga airtime na medias ile mbaya
Kwa hiyo kwa Wema hakuna lingine zaidi ya michirizi? Hizo picha tangu zimevuja sijui mwaka gani mpaka leo bado mmeishikia bango!!!
Kuna picha ya Michelle yule mwanamuziki iliwekwa kavaa nguo ndefu yenye mpasuo mkubwa mpaka kiunoni ila kwa ndani kuna ki lining transparent na michirizi ya kutosha tu inaonekana mbona wengi hawakumnanga au kwakuwa Wema ni mbongo movie?usiinclude na wengine
Its Never too late for her to go back to School study some Short course in Management And manage her stuff Professionale what she is doing now Ana Fans ambao wanammsilead And the Reality Show makes Things worse Cause she is exposing so much stuff about Herself that is not good,she need good Mentors And life Coach at the Moment she has none!!
Ajajajajaaaaa,kilo moja inakaribia laki sasa!..lol
mi ananiboa zaidi pale ambapo analazimisha kuongea kitoto
She has Never Been private about her Body or private life she Keeps it in Open And People use her flaws against her
Michirizii ni Kitu Cha kawaida lakini ukiwa Public figure kama yeye throwinn ur stuff like that makes sure its hot And noone will do Body shamin