Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
hapa ndipo anaponichosha kuliko ujauzito unavyoweza kunichosha, kuna siku nilimskia eti anasema ''kigodoro cha jana kilikuwa kitamu, yani sidhani kama nitakaa nikose kwenye kigodoro''
Uwiiiiii Paula jamani acha uongo!