Pesa anayo lakini ni mshamba anafanya mambo kwa mihemko kuwaridhisha raia
Vingine hata havikuwa kwenye plan yake lakini presha kutoka kwa watu
na uwongo ndiyo unawapa watu maneno ya kusema
Okm inakuwaga kwenye maganda kuna baadhi ya parties zinakuwa zimefunikwa kwa mbwembwe za hao jamaa lazima wangetuonyesha wakimenya maganda
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Yah! Hongera kwake[emoji122][emoji122][emoji122]Tazama hii picha , alafu uniambia kama hiyo tyre used.. kama ni mtumiji wa tyre kama hizoView attachment 1855123
C'moon Romeo 🤣🤣🤣Na wewe umeshikwa akili na Mange ? Usiniangushe bwanaa weee.. hiyo tyre sio kipala washamba tu, tyre hizi zipo hivyo ila kwa mtu mgeni wa aina za tyre atasema kipara.. hiyo tyre mpya..
Hapo sawa Juliet, nilitaka nikupige na mabusu hadi ulie 😊😊😊C'moon Romeo 🤣🤣🤣
Me nimetania tu jamani.
Tumpongeze sana mwalimu wako aliyehakikisha tahahira kama wewe angalau unaweza kusoma. Kwa matope haya uliyonayo kichwani huwezi kutofautisha kwamba hiyo ni RR Ghost na Diamond ana RR Culinan?
Wewe ukisikia mtu kanunua Toyota unafyatuka kukagua bei yoyote unayoweza kugoogle na kitekno chako kilichopasuka. Utajuaje ni IST, Alex, Land Cruiser, Alphard...
Jamaa kapambania sana ndoto zake, acha ale matunda yake.. kama alianza iota toka 2015 na haku loose focus, amejitahidi sana..Yah! Hongera kwake[emoji122][emoji122][emoji122]
Hii kauli ya kusema mtu amejitahidi ni hopeless kbs! Sio amejitahidi ameweza, amepambana hadi kapata sio suala la kujitahidi ni ameweza / amefanya kweli na amefanikiwaJamaa kapambania sana ndoto zake, acha ale matunda yake.. kama alianza iota toka 2015 na haku loose focus, amejitahidi sana..
Ataagiza anaweza? Kapuku tu kama Mimi hapa wivu umemjaa mpaka!Agiza basi utoe hiyo 300mln
Ova
Sana[emoji106][emoji119][emoji119]Jamaa kapambania sana ndoto zake, acha ale matunda yake.. kama alianza iota toka 2015 na haku loose focus, amejitahidi sana..
Gari ya 0 km inakuwaga na tairi chakavu? Umeona tairi za ile gari?
Wee Vitz yako ipo wapi 🤷🏼♀️bored!Diamond Platnumz anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kuwa kanunua gari la bilioni, how Diamond Platnumz unakuwa muongo hivyo?
Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu, huu hapa ushaidi wa bei ya gari alilonunua Diamond Platnumz na gari yake ni used kwa Bei chee.
Aisee 😹😹😹😹Na wewe kanunue lako usitupigie kelele,watu tuna maumivu na kodi ya miamala wewe unaleta mambo ya gari? Nenda face book kawaambie
Jamaa ni hustlers na ana uthubutu, hata kama ni used amejitahid anahishi kwenye ndoto zakeMkuu ngoja nikupe mfano mzuri uelewe
Toyota Rav 4 ziko za aina tofauti
1. Old Model
2. Miss Tanzania
3. Kill Time
4. Vanguard
Hzo zote hapo ni Rav 4 by nature ila bei zake ziko tofauti kabisa kutokana na Millage na mwaka uliiotengenezwa
Sasa hapo umeweka RR Ghost badala ya Culinan ambayo ni latest ya 2021 ulishindwa hata ku reason kawaida tu
Fine tyre zake mnasema gar ni used embu take trouble kutafuta bei ya used Culinan ni kiasi gani then urud tena
Tunaweza kwel kumchukia tu Diamond kwa sababu ya umasikini wetu ila atlist lets respect his husttle Man.
Peace n Out!!
Upo sawa pia. Ameweza katika imani yake na alichokuwa anapambania.. sipingi kauli yako hata upo sahihi kabisa bossHii kauli ya kusema mtu amejitahidi ni hopeless kbs! Sio amejitahidi ameweza, amepambana hadi kapata sio suala la kujitahidi ni ameweza / amefanya kweli na amefanikiwa
Kama anaona ndogo aagize, watu wana jimwambafai wakati hata RR haijawai pita mtaani kwaoAgiza basi utoe hiyo 300mln
Ova
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wee Vitz yako ipo wapi 🤷🏼♀️bored!
Davido kanunua kiwandani m800 mond second hand kanunua B1. 5 yani na redio zimeshupaliaMkuu na wewe unashikwa kichwa kirahisi hivyo, ile picha wameichezea. Tyre zote kashata mpya kama ungeona video, na sio hako kapicha waliko kachezea
Haya tajiri yako ni gari gani mkuu ?Davido kanunua kiwandani m800 mond second hand kanunua B1. 5 yani na redio zimeshupalia
View attachment 1855181