Gari la Diamond Platnumz ni bei rahisi unaweza kuagiza mpaka Dar kwa Tsh. milioni 300 na ushuru ndani

Gari la Diamond Platnumz ni bei rahisi unaweza kuagiza mpaka Dar kwa Tsh. milioni 300 na ushuru ndani

Pesa anayo lakini ni mshamba anafanya mambo kwa mihemko kuwaridhisha raia

Vingine hata havikuwa kwenye plan yake lakini presha kutoka kwa watu

na uwongo ndiyo unawapa watu maneno ya kusema

Okm inakuwaga kwenye maganda kuna baadhi ya parties zinakuwa zimefunikwa kwa mbwembwe za hao jamaa lazima wangetuonyesha wakimenya maganda

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app

Another popoma on way
 
Laki na ushee $ Bado anaonekana hana kitu?. Isee kuna wengine hata gurudumu la guta hawaja wahi kulimiliki. Wivu ni Jambo bovu.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Na wewe umeshikwa akili na Mange ? Usiniangushe bwanaa weee.. hiyo tyre sio kipala washamba tu, tyre hizi zipo hivyo ila kwa mtu mgeni wa aina za tyre atasema kipara.. hiyo tyre mpya..
C'moon Romeo 🤣🤣🤣

Me nimetania tu jamani.
 
Tumpongeze sana mwalimu wako aliyehakikisha tahahira kama wewe angalau unaweza kusoma. Kwa matope haya uliyonayo kichwani huwezi kutofautisha kwamba hiyo ni RR Ghost na Diamond ana RR Culinan?

Wewe ukisikia mtu kanunua Toyota unafyatuka kukagua bei yoyote unayoweza kugoogle na kitekno chako kilichopasuka. Utajuaje ni IST, Alex, Land Cruiser, Alphard...

@T14 Armata wew jamaa umefanya nmecheka sana[emoji23][emoji23]
 
Jamaa kapambania sana ndoto zake, acha ale matunda yake.. kama alianza iota toka 2015 na haku loose focus, amejitahidi sana..
Hii kauli ya kusema mtu amejitahidi ni hopeless kbs! Sio amejitahidi ameweza, amepambana hadi kapata sio suala la kujitahidi ni ameweza / amefanya kweli na amefanikiwa
 
Diamond Platnumz anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kuwa kanunua gari la bilioni, how Diamond Platnumz unakuwa muongo hivyo?

Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu, huu hapa ushaidi wa bei ya gari alilonunua Diamond Platnumz na gari yake ni used kwa Bei chee.


Wee Vitz yako ipo wapi 🤷🏼‍♀️bored!
 
Mkuu ngoja nikupe mfano mzuri uelewe

Toyota Rav 4 ziko za aina tofauti
1. Old Model
2. Miss Tanzania
3. Kill Time
4. Vanguard

Hzo zote hapo ni Rav 4 by nature ila bei zake ziko tofauti kabisa kutokana na Millage na mwaka uliiotengenezwa

Sasa hapo umeweka RR Ghost badala ya Culinan ambayo ni latest ya 2021 ulishindwa hata ku reason kawaida tu

Fine tyre zake mnasema gar ni used embu take trouble kutafuta bei ya used Culinan ni kiasi gani then urud tena

Tunaweza kwel kumchukia tu Diamond kwa sababu ya umasikini wetu ila atlist lets respect his husttle Man.

Peace n Out!!
Jamaa ni hustlers na ana uthubutu, hata kama ni used amejitahid anahishi kwenye ndoto zake
 
Hii kauli ya kusema mtu amejitahidi ni hopeless kbs! Sio amejitahidi ameweza, amepambana hadi kapata sio suala la kujitahidi ni ameweza / amefanya kweli na amefanikiwa
Upo sawa pia. Ameweza katika imani yake na alichokuwa anapambania.. sipingi kauli yako hata upo sahihi kabisa boss
 
Back
Top Bottom