kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Pesa anayo lakini ni mshamba anafanya mambo kwa mihemko kuwaridhisha raia
Vingine hata havikuwa kwenye plan yake lakini presha kutoka kwa watu
na uwongo ndiyo unawapa watu maneno ya kusema
Okm inakuwaga kwenye maganda kuna baadhi ya parties zinakuwa zimefunikwa kwa mbwembwe za hao jamaa lazima wangetuonyesha wakimenya maganda
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Another popoma on way