Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
And thats what I like from him anajitahd kupambana kutimiza anachokiamni.Jamaa ni hustlers na ana uthubutu, hata kama ni used amejitahid anahishi kwenye ndoto zake
Mim nilimpa benefit of doubt mtoa mada atlist aje na bei ya Used RR ya 2021 tuone inafika bei gani...Tyre sio used wame edit, angalia video ya ile gari ndio utajua wamechezea kale ka picha
Nilikuelewa vizuri sana mkuu wanguMim nilimpa benefit of doubt mtoa mada atlist aje na bei ya Used RR ya 2021 tuone inafika bei gani...
Kuna wazee nawalaumu kwanini wasingemwagia tu njee kuliko kuja kutuletea vituko hivi vinavyotusumbua huku jamii forumsDiamond Platnumz anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kuwa kanunua gari la bilioni, how Diamond Platnumz unakuwa muongo hivyo?
Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu, huu hapa ushaidi wa bei ya gari alilonunua Diamond Platnumz na gari yake ni used kwa Bei chee.
Mkuu sibishani na wewe ila zero km haiwezi kuwa na tyre kama zile.Lakn yake si ya 2021 na n zero km Bei haziwez fanana mkuu hata ist zero km Bei n tofaut na hizi
Rolls Royce ya Diamond inaitwa Cullinan ambayo ni SUV. Hiyo uliyotuwekea wewe ni Rolls Royce Ghost ambayo ni Sedan. Kwa lugha nyepesi tunaweza kusema umefananisha Toyota Landcruiser na Toyota Crown. Japo ni zimetengenezwa na Toyota lakini ni gari mbili tofauti.Diamond Platnumz anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kuwa kanunua gari la bilioni, how Diamond Platnumz unakuwa muongo hivyo?
Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu, huu hapa ushaidi wa bei ya gari alilonunua Diamond Platnumz na gari yake ni used kwa Bei chee.
Wamepora tittle nimebaki na respekt! 😅Mkuu umepigwa ban??
Mkuu watu wanalazimisha chuki kwa uongo wa kuokoteleza@T14 Armata wew jamaa umefanya nmecheka sana[emoji23][emoji23]
I swear Baba yako Aliuza Bata ili apeleke Bata mwingine shuleniDiamond Platnumz anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kuwa kanunua gari la bilioni, how Diamond Platnumz unakuwa muongo hivyo?
Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu, huu hapa ushaidi wa bei ya gari alilonunua Diamond Platnumz na gari yake ni used kwa Bei chee.
Unataka kusemaje kwaniAnother popoma on way
Natambua hali yangu mkuu, ila Mond siri ya utajiri wake anaunua yeye...mna kazi ya kusema hardwork pays, wangapi hawalali kwa kupiganisha kazi lakini hawatoboi kama Mond. Je mziki wake ni mzuri kuliko wa wengine.Loser comment. Shida ya umasikini ndio hii ukishindwa kutafuta pesa usitafute sababu za kujifariji kwanini wengine wamefanikiwa. Hakuna hela za uchawi wewe komaa, acha chuki na ujifunze kwa waliotoboa na wewe utafanikiwa
Acha wivu mtoto wa kiume, kitambo sana ni miaka 47 iliyopita ,alafu utasemaje kitambo sana wakati RR cullinan model ya kwanza imetoka 2018!!! Tafuta hela fala wewe.Sio kwel ya kitambo Sana [emoji1787][emoji1787]
Bro yako ya mwaka gani?,samahani lakini.Sio kwel ya kitambo Sana [emoji1787][emoji1787]