Gari la Diamond Platnumz ni bei rahisi unaweza kuagiza mpaka Dar kwa Tsh. milioni 300 na ushuru ndani

Gari la Diamond Platnumz ni bei rahisi unaweza kuagiza mpaka Dar kwa Tsh. milioni 300 na ushuru ndani

Diamond Platnumz anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kuwa kanunua gari la bilioni, how Diamond Platnumz unakuwa muongo hivyo?

Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu, huu hapa ushaidi wa bei ya gari alilonunua Diamond Platnumz na gari yake ni used kwa Bei chee.


Hiyo gari uliyoipost ndio kanunua au umekurupuka. Tafuta hela kijana acha wivu wa kichawi umri wako Bado Mdogo
 
Sasa anamtangazia nani bei za magari yake?,inamsaidia nini mtanzania.mtu aliyetoka kwenye umaskini akapata pesa utamjua tu.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
BEI RAHISI million 300
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Samahani mtoa post nnashida na elfu 30 naomba nsaidie
 
Diamond Platnumz anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kuwa kanunua gari la bilioni, how Diamond Platnumz unakuwa muongo hivyo?

Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu, huu hapa ushaidi wa bei ya gari alilonunua Diamond Platnumz na gari yake ni used kwa Bei chee.



Wewe ni mjinga sana aya 108850*2320=

Af tafuta kodi apo ya iyo gar uone ka haifik 600m 700m acha kuponda ujinga kwa iyo 600m ni ndogo acheni umaku...[emoji28][emoji28]
 
Yaani mimi namuonea wivu Diamond hadi huwa namuwazia tu kuwa huyu dogo yupo ndani ya genge la Illuminti...yaani dogo huyu domo kunawatu walio juu yake wanampa na kumuwezesha maujuzi na utaalamu wa muziki wenye enslave humanity.
Yaani tunasema mtumikie Lucifer ku enslave your own humanity naye anaku award by Power, Fame, and Money

Dogo punda Wa bei ya juu, wakimvizia wanamkamata yeye na crew yake

na hivi JPM amefariki ameanza kubeba tena drugs kwa kutumia dancers na cameraman
 
Back
Top Bottom