Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,221
- 6,940
Una uhakika hakuna version mpya? ya 2021? Ila hata kwa Tshs.300m bado parefu.Sio kwel ya kitambo Sana [emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika hakuna version mpya? ya 2021? Ila hata kwa Tshs.300m bado parefu.Sio kwel ya kitambo Sana [emoji1787][emoji1787]
Zero km tyres kiwaraza?Lakn yake si ya 2021 na n zero km Bei haziwez fanana mkuu hata ist zero km Bei n tofaut na hizi
Hiyo gari uliyoipost ndio kanunua au umekurupuka. Tafuta hela kijana acha wivu wa kichawi umri wako Bado MdogoDiamond Platnumz anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kuwa kanunua gari la bilioni, how Diamond Platnumz unakuwa muongo hivyo?
Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu, huu hapa ushaidi wa bei ya gari alilonunua Diamond Platnumz na gari yake ni used kwa Bei chee.
Wewe unayekula Kwa shemeji yako utajifananisha na Diamond?Zero km tyres kiwaraza?
Umepigwa mkuu
🙂🙂🙂🙂 mie nimeunga mkono juhudu mkuu .. sina ugomvi na matajiri
Mbona umeandika kama umekalia kitu kigumu chenye tundu mojaWewe unayekula Kwa shemeji yako utajifananisha na Diamond?
Diamond Platnumz anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kuwa kanunua gari la bilioni, how Diamond Platnumz unakuwa muongo hivyo?
Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu, huu hapa ushaidi wa bei ya gari alilonunua Diamond Platnumz na gari yake ni used kwa Bei chee.
Yaani mimi namuonea wivu Diamond hadi huwa namuwazia tu kuwa huyu dogo yupo ndani ya genge la Illuminti...yaani dogo huyu domo kunawatu walio juu yake wanampa na kumuwezesha maujuzi na utaalamu wa muziki wenye enslave humanity.
Yaani tunasema mtumikie Lucifer ku enslave your own humanity naye anaku award by Power, Fame, and Money
Akili za kuambiwa changanya na zako.Dogo punda Wa bei ya juu, wakimvizia wanamkamata yeye na crew yake
na hivi JPM amefariki ameanza kubeba tena drugs kwa kutumia dancers na cameraman
Tabia yako hiyoMbona umeandika kama umekalia kitu kigumu chenye tundu moja
Kinachocheua vitu vyeupe?
Hujapakatwa kweli?
Fitina tu za walimwengu mtu kaniitia askari wa jf 😅😅😅
Boya mmoja hapo juuMmmh best best mbona umekula kifungo?
Sijui itakuwa umemtukana nani?[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
Yah nilikula ban sababu ya huyo boya hapo juuMkuu umepigwa ban??