Gari la Ikulu ya Rais wa Kenya laibwa na kukamatwa mjini Moshi nchini Tanzania

Wewe jamaa vipi?. Unakataa wachaga kutuhumiwa bila ushahid halafu unatuhuma wahaya bila ushahidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nagamba mazimaa. Mazima gonka!!!! Sina haja buana kwani we hujuyi?
Hahaa.. sasa mkuu ungefuta kauli yako ingependeza. Unajua hizi notion sijui wachaga wezi e.t.c siyo za ku entertain. Kila mtu anaweza kuwa mwizi kwa sababu tofauti. Factors zipo nyingi zinazochangia mtu kuwa mwizi ambazo zinaweza ku mu affect mtu yoyote yule.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Muambiye buana. Huyu jamaa anasema ati ni wachaga tu ndo wezi. Mutu yeyote buana anaweza kuwa mwizi tu. Sio kabila ndo linaiba bali ni mutu binafusi
 
Ahaah, mi nadhani hapa kuna kitu kinafichwa. Kama hiyo gari ni presidential van, kila wakati hata zikiwa yard, zinakuwa under maximum surveillance. Iweje hiyo gari itoke mpaka ivuke border.

Hebu wataalamu waje wadadavue. Kama huu ni wizi wa kawaida, basi ipo siku Ikulu ya Nchi hiyo itatekwa, au hata msafara wa Rais utakuja kuhujumiwa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyekwambia wachaga ndio wameiba nani,wanaume wa humu mbona mna kiherehere,mtoa mada mwenyewe hata haeleweki vizuri,maana anaandika kama amebumba kaa la moto,nyie nae mnadakia juu kwa juu eti wachaga akili kubwa,mnasikitisha sana aisee!
Kwani Mimi nimesema wachaga ndo wameiba mkuu? Nimesema tu watuhumiwa watatu wamekamatwa nawanahojiwa. Sijajua kosa langu ni lipi hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hehehe Kumbe wewe Mchagga, utakua Mchagga fake maana ni vigumu kuwapata Wachagga wenye muda wa kushinda na kukesha mitandaoni badala kuwa kule nje wakisaka hela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…