Gari la Ikulu ya Rais wa Kenya laibwa na kukamatwa mjini Moshi nchini Tanzania

Gari la Ikulu ya Rais wa Kenya laibwa na kukamatwa mjini Moshi nchini Tanzania

Ila Polisi wa Tanzania wanaviherehere as if wapo kwenye pay roll ya Kenya! Gari latest model Nissan V8 tushafanya yetu maana Wafanyakazi wa Kenya sana njaa sana wapo radhi kuuza mpaka wake zao ili tu wapate Fedha! Salute to All guyz who made this possible next time we'll steal their standard Gauge or KLM as we did in MV Victoria

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingekuwa ni gari la ikulu ya Tz limeibiwa na wakenya nakuhakikishia hapa pangechimbika.
 
Back
Top Bottom