Maasai 2676
Member
- Jan 19, 2018
- 27
- 9
Limekamatwa boma lakini kituo kikuu kipi moshi,si gari liko mjini moshi...haliwezi kaa boma,makao makuu ni mjini moshi,Heading inasema gari imekamatwa mjini Moshi.
Kwenye maelezo gari imekamatwa "boning'ombe" wilaya ya Hai.
Una haraka gani kwanini usitulie ukaandika kitu kikaeleweka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona wamekamatwa?Hao majamaa wana kipaji cha kuiba
Hatari