Gari la Machame Investment limepinduka laua 6 na wengine 19 wamejeruhiwa

Gari la Machame Investment limepinduka laua 6 na wengine 19 wamejeruhiwa

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Watu 6 wamefariki dunia huku wengine 19 wakijeruhiwa baada ya basi la Machame Investment walilokuwa wakisafiria kutoka Dodoma kuelekea Arusha kuacha barabara na kisha kugonga gema na kupinduka. Kamanda wa Polisi Babati mkoani Manyara Paul Kasabago amethibitisha kutokea kwa tukio.

1617117693056.png
 
Mtanikumbuka kwa mazur sio kwa mabaya.Naona hizi ajari kuna mtu alikua kazifungia ndani kipindi cha Magu sasa kaondoka mbabe nae kafungulia Watanzania tumwombe Mungu.
Ajali ya Lori la mafuta morogoro ilitokea lini?!
 
Back
Top Bottom