Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,817
- 10,667
Gari "bovu na chakavu" la Magereza wilaya ya Kiteto mkoani Manyara limepata ajali eneo la Kaloleni na baadhi ya Wafugwa majeruhi wamekimbizwa hospitali ya Kiteto kwa matibabu.
Picha za gari iliyopata ajali
Picha za gari iliyopata ajali