Gari la Magereza lapata ajali, Wafugwa wajeruhiwa

Gari la Magereza lapata ajali, Wafugwa wajeruhiwa

Notorious thug

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2021
Posts
2,817
Reaction score
10,667
Gari "bovu na chakavu" la Magereza wilaya ya Kiteto mkoani Manyara limepata ajali eneo la Kaloleni na baadhi ya Wafugwa majeruhi wamekimbizwa hospitali ya Kiteto kwa matibabu.

Picha za gari iliyopata ajali

FB_IMG_1667912230099.jpg
FB_IMG_1667912214166.jpg
 
Gari "bovu na chakavu" la Magereza wilaya ya Kiteto mkoani Manyara limepata ajali eneo la Kaloleni na baadhi ya Wafugwa majeruhi wamekimbizwa hospitali ya Kiteto kwa matibabu.

Picha za gari iliyopata ajali

View attachment 2410439View attachment 2410442[/B]

Gari lenyewe la mzigo huenda hao wafungwa walikuwa wanapelekwa kufanya kazi kwa mkubwa!

Ila kibongo bongo utasikia"kulikuwa na shughuli maalumu ya kikazi wanafanya"
 
Gari "bovu na chakavu" la Magereza wilaya ya Kiteto mkoani Manyara limepata ajali eneo la Kaloleni na baadhi ya Wafugwa majeruhi wamekimbizwa hospitali ya Kiteto kwa matibabu.

Picha za gari iliyopata ajali

View attachment 2410439View attachment 2410442[/B]
Hii picha ya gari siyo ya magereza Tanzania bali ni ile ya askari wa ukraine iliyopigwa bomu na urusi hivi karibuni.

Mleta thread inabidi ukapimwe mkojo
 
Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ni kama kuna muda vinasahaulika. Nimeona habari ya gari la magereza kupata ajali, najiuluza katika miaka 60 baada ya uhuru, hivi kweli hili gari linatumikaje na chombo nyeti kama jeshi la magereza?
0DE8C288-979F-4446-800B-AEACCB91FB81.jpeg
 
Back
Top Bottom