Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watch your assHii picha ya gari siyo ya magereza Tanzania bali ni ile ya askari wa ukraine iliyopigwa bomu na urusi hivi karibuni.
Mleta thread inabidi ukapimwe mkojo
Askari magereza hawana msaada kipindi cha uchaguzi,Hivi kwanini askari Magereza hawadhaminiwi kama majeshi mengine? Serikali litazameni na hili, Magereza wana haki sawa kama majeshi mengine, mfano mzuri ni Polisi japo ni Wizara moja wanathaminiwa kuliko Magereza kosa kubwa mno.
Chuma Mtupu, Injection Hiyo TXHili bado lilikuwa linatoa huduma??? Aisee tupo nyuma saaaana khaa!!!
Jino Bovu Mdomoni Hawataki Kuling'oa Sasa Mdomo Harufu Tupu (Ccm)Haya ndio matunda ya kuwa na CCM tangu uhuru. Kama gari lilivyo ndivyo zilivyo akili zao.
Haa Hiyo Isuzu Injection TXD Ya Enzi Ya Chama Kushika Hatamu Inaambukiza MaradhiWafungwa wafungue kesi ya kuambukizwa tetenasi kwa makusudi.
Wafungwa wapunguziwe adhabuGari "bovu na chakavu" la Magereza wilaya ya Kiteto mkoani Manyara limepata ajali eneo la Kaloleni na baadhi ya Wafugwa majeruhi wamekimbizwa hospitali ya Kiteto kwa matibabu.
Picha za gari iliyopata ajali
View attachment 2410439View attachment 2410442
Hapo Baadaye Watamchukulia Hatua Driver Wakati Gari HakunaScrepa limeanguka
Kabsaa majeraha waliyoyapata hapo sio mchezoWafungwa wapunguziwe adhabu
Itakua ni upuuzi.Hapo Baadaye Watamchukulia Hatua Driver Wakati Gari Hakuna
Sanaaa.Mwaka Wa Tabu!!
Hizo ngoma ni liabilities service kila siku, sema wana wafungwa mafundi🤣Chuma Mtupu, Injection Hiyo TX
Hilo gari au chuma chakavu? , aisee kumpakia binadamu humo ni ukiukwaji wa haki za kibinadamu , hayo mavyuma kutu tu inatosha kukuinfect na kukuaGari "bovu na chakavu" la Magereza wilaya ya Kiteto mkoani Manyara limepata ajali eneo la Kaloleni na baadhi ya Wafugwa majeruhi wamekimbizwa hospitali ya Kiteto kwa matibabu.
Picha za gari iliyopata ajali
View attachment 2410439View attachment 2410442
Wafugwa wanataabika sana.Hilo gari au chuma chakavu , aisee kumpatia binadamu humo ni ukiukwaji wa haki za kibinadamu , hayo mavyuma kutu tu inatosha kukuinfect na kukua