Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,817
- 10,667
Gari "bovu na chakavu" la Magereza wilaya ya Kiteto mkoani Manyara limepata ajali eneo la Kaloleni na baadhi ya Wafugwa majeruhi wamekimbizwa hospitali ya Kiteto kwa matibabu.
Picha za gari iliyopata ajali
View attachment 2410439View attachment 2410442[/B]
Hii picha ya gari siyo ya magereza Tanzania bali ni ile ya askari wa ukraine iliyopigwa bomu na urusi hivi karibuni.Gari "bovu na chakavu" la Magereza wilaya ya Kiteto mkoani Manyara limepata ajali eneo la Kaloleni na baadhi ya Wafugwa majeruhi wamekimbizwa hospitali ya Kiteto kwa matibabu.
Picha za gari iliyopata ajali
View attachment 2410439View attachment 2410442[/B]
Na hao waliovalia sare pembeni na askali wa ukraine?[emoji28]Hii picha ya gari siyo ya magereza Tanzania bali ni ile ya askari wa ukraine iliyopigwa bomu na urusi hivi karibuni.
Mleta thread inabidi ukapimwe mkojo
huko ukraine hakuna isuzu txdHii picha ya gari siyo ya magereza Tanzania bali ni ile ya askari wa ukraine iliyopigwa bomu na urusi hivi karibuni.
Mleta thread inabidi ukapimwe mkojo
Hiyo gari haipo Tanzania, mara ya mwisho serikali iliagiza isuzu txd 1970huko ukraine hakuna isuzu txd
[emoji16][emoji16]Hilo gari na lenyewe liko kifungoni, tena bila shaka ni kifungo cha maisha.
Yaani ni chakavu hadi maaskari wetu wanaona aibu Mh Rais Samia hajui wanamficha haya akijua atawapelekea gariGari "bovu na chakavu" la Magereza wilaya ya Kiteto mkoani Manyara limepata ajali eneo la Kaloleni na baadhi ya Wafugwa majeruhi wamekimbizwa hospitali ya Kiteto kwa matibabu.
Picha za gari iliyopata ajali
View attachment 2410439View attachment 2410442
Haya ndio matunda ya kuwa na CCM tangu uhuru. Kama gari lilivyo ndivyo zilivyo akili zao.Gari "bovu na chakavu" la Magereza wilaya ya Kiteto mkoani Manyara limepata ajali eneo la Kaloleni na baadhi ya Wafugwa majeruhi wamekimbizwa hospitali ya Kiteto kwa matibabu.
Picha za gari iliyopata ajali
View attachment 2410439View attachment 2410442