Gari la mtangaza nia wa CCM, Enock Bwigane lapata ajali. Dereva aaga dunia

Naijua Tukuyu, ni nyumbani kwetu kabisa. Nawajua nje ndani, Enock awe mwangalifu sana. Ajitahidi kushika Mungu kwa uaminifu. Bahati Mbaya hakujawahi kutokea Mwanasiasa Mcha Mungu kwa uaminifu.

Wanyaki hovyo sana, wana wivu wa kiboya mno. Hawakawii kukutanguliza mbele ya haki kabla ya wakati wako.
 
Hahahaaa ashukuru
Huu ubunge huu inabidi uwe mtu wa Mungu au uonane na mafundi wakutengeneze .Nina mwanangu nae mtia nia gari lime mgomea mara tatu juzi.
Limemgomeaaa mpwaa Bwiagane GARI alisomeki hata BIMA ooh wakajua wamemuwahi haposijajuaa nayeye KAMATI zimekaaje yukonjema
 
Hahahaaa ashukuru

Limemgomeaaa mpwaa Bwiagane GARI alisomeki hata BIMA ooh wakajua wamemuwahi haposijajuaa nayeye KAMATI zimekaaje yukonjema
Kuna watu wana roho mbaya.
 
hii imekaa ki kampeni kampeni zaidi ………...
 
Waganga kipindi hichi wanamasharti magumu usishangae wakakwambia upeleke mkono wa mtoto mchanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…