Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamishina wa Madawa anafanya kazi nzuri sana, pongezi zangu za dhati kwake Ndugu, Gerald Kusaya.
Ni rahisi kumpata dereva kama mmiliki keshajulikana.Kamishina wa Madawa anafanya kazi nzuri sana, pongezi zangu za dhati kwake Ndugu, Gerald Kusaya.
Mkuu, shida ya haya mambo watu sasa wamejiachia wako huru....
Asingekimbia kama hakujuwa content ya mzigo huo.Nawaza tu hapo ukute dereva anasafiri mwenyewe ameamua ngoja achukue abiria wawili watatu hivi apunguze makali ya maisha kumbe amepakia mapusha ambao wanafuatliwa muda mrefu na wanausalama aisee hilo ni balaa zito.
Halafu kwanini hawataji namba za Hilo gari? Hawataji namba au ni la office ya mheshimiwa?mbona wakikamatwa hatupati mrejesho wa mahakama wamefungwa au faini maana nakumbuka wanajeshi walikamata baharini kilo 1000 za dawa za kulevya mtwara walikuwa wapakistan lakini mpaka leo kimya
duh !Chief hangaya amesharuhusu
Kilo 400 za madawa ni nyingi sana, hizo ni za watu wazito sana na zenye kuwa na tracking ya hali ya juu haiwezi kutokea kusafirishwa kizembe hivyo.Nawaza tu hapo ukute dereva anasafiri mwenyewe ameamua ngoja achukue abiria wawili watatu hivi apunguze makali ya maisha kumbe amepakia mapusha ambao wanafuatliwa muda mrefu na wanausalama aisee hilo ni balaa zito.
Gari la serikali linamilikiwa na nani jamani?Gazeti la mwananchi limeripoti kuwa gari lenye namba za serikali limenaswa likiwa na kilo 430 za dawa za kulevya huku mmiliki wake akitokomea kusikojulikana na anaendelea kusakwa kila kona bila mafanikio.
My take.
Kwa kasi hii mateja na watu wanaotoa udenda barabarani wataanza kuonekana tena.
Paul Makonda rudi kazini aisee uokoe vijana wetu.View attachment 2107438
Kwani lile jahazi lililokamatwa wakati wa uchaguzi lilipelekwa wapi na watu hao wako mahakama gani?Sio rahisi hivyo mkuu, lazima sheria ichukue mkondo wake na huyo kijana aliyekimbia na huo mzigo lazima atakamatwa aje atueleze ni nani huwa anamtuma kumsafirishia huo unga
Bora hawa walikuwa wanaenda kula matunda😂😂😂😂
Yaani kuna watu wanaamini kabisa kwamba Bashite alikuwa anapambana na Dawa za kulevya!!Arudi wakati ndio alikuwa anaifanya yeye hiyo biashara
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app