Wizi wa mafuta na madawa ya kulevya wapi na wapi boss wangu?Kwani lile jahazi lililokamatwa wakati wa uchaguzi lilipelekwa wapi na watu hao wako mahakama gani?
2 na lile bomba lamafuta la kigamboni ni nani alikua anaiba yale mafuta na mpaka sasa wamefikishwa wapi?
Lile jahaz ulikuwa mzigo wa m2 mzito ndio maana kes imeisha kimya kimya na wapakistan hawajulikana walipo.Kwani lile jahazi lililokamatwa wakati wa uchaguzi lilipelekwa wapi na watu hao wako mahakama gani?
2 na lile bomba lamafuta la kigamboni ni nani alikua anaiba yale mafuta na mpaka sasa wamefikishwa wapi?
Umesoma vizuri? Aliyekimbia siyo dereva ni mmiliki wa dawa hizo.Ni rahisi kumpata dereva kama mmiliki keshajulikana.
Neema ya Mungu ndo ije izuie hayo madawa? Basi acha hangaya aendelee kuuchapa usingizi sisi tukisubiri.Mkuu, shida ya haya mambo watu sasa wamejiachia wako huru....
Mama yeye anajipigia vijembe tu wala hana habari na sensitive issues kama hizi.
Hizi biashara haramu isipokugusa wewe wewe, basi kuna ndugu yako inaweza kumuathiri.
Tunahitaji sana neema ya Mungu katika hili
Mmiliki wa gari la serikali hajulikani ndo maana hawajataja namba za gari , wakitaja atajulikanaGari la serikali linamilikiwa na nani jamani?
makonda arudi wapi kwa sasa anasakwa akaripoti mahakamani ajibu tuhuma zinazomkabili enzi za utawala wa kifirahuniGazeti la mwananchi limeripoti kuwa gari lenye namba za serikali limenaswa likiwa na kilo 430 za dawa za kulevya huku mmiliki wake akitokomea kusikojulikana na anaendelea kusakwa kila kona bila mafanikio.
My take.
Kwa kasi hii mateja na watu wanaotoa udenda barabarani wataanza kuonekana tena.
Paul Makonda rudi kazini aisee uokoe vijana wetu.View attachment 2107438
Hii biashara ni in/outUmesha jiiuliza wangapi hawajakamatwa! Na ni kwanii!?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Tatizo la Hawa machawa wamekosa sehemu ya kunyonya damu Sasa yanaropoka tuu.Yaani kuna watu wanaamini kabisa kwamba Bashite alikuwa anapambana na Dawa za kulevya!!
Achana na mizwazwa fuata mkumbo isiyojua chochote.Arudi wakati ndio alikuwa anaifanya yeye hiyo biashara
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Hangaya si yuko anaupiga mwingi, anafungua nchi na kuiponya nchi!? 😂😂😂😂Neema ya Mungu ndo ije izuie hayo madawa? Basi acha hangaya aendelee kuuchapa usingizi sisi tukisubiri.
Ina "A" mwishoni labdaHalafu kwanini hawataji namba za Hilo gari? Hawataji namba au ni la office ya mheshimiwa?
kwenye kilimo cha mbogamboga cyoMakonda yupo Kigamboni anaendelea na maisha yake
Tuaongelea kama watachukuliwa hatua au ndo yanaishia hapo kwenye habali?Wizi wa mafuta na madawa ya kulevya wapi na wapi boss wangu?
Ana Fanya KAZ ya kuuza cocaine kwenye magari ya serikali🤣🤣☘️Kamishina wa Madawa anafanya kazi nzuri sana, pongezi zangu za dhati kwake Ndugu, Gerald Kusaya.
namba si zinatengenezwa tu.inawezekana si gari la serikali ila limebandikwa namba hiyo ili iwe rahisi kuvusha hayo madawa.makonda alikuwa sahihi ila approach aliyokuwa anaitumia haikuwa sahihi.huenda pia naye alikuwa na maslahi yake huko.hii biashara ndo inayowatajirisha watu wengi hivyo serikali inatakiwa kuwa makini sana ndo maana hata maandiko yanasema ni vigumu kwa tajiri kuurithi ufalme wa Mungu kama alivyo ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.aliona matajiri karibu wote wanafanya illegal business.kongole kwa waliotoa taarifa ya dili hilo.Mmliki wake si ni serikali?
Ama munamaanisha dereva?
Anywas: Kamba zimeanza kukatika kwa hiyo ni kula popote.
Hatua huchukuliwa mkuuTuaongelea kama watachukuliwa hatua au ndo yanaishia hapo kwenye habali?
HahahMmiliki wa gari la serikali hajulikani ndo maana hawajataja namba za gari , wakitaja atajulikana
Gazeti la mwananchi limeripoti kuwa gari lenye namba za serikali limenaswa likiwa na kilo 430 za dawa za kulevya huku mmiliki wake akitokomea kusikojulikana na anaendelea kusakwa kila kona bila mafanikio.
My take.
Kwa kasi hii mateja na watu wanaotoa udenda barabarani wataanza kuonekana tena. Paul Makonda rudi kazini aisee uokoe vijana wetu.
Hivi enzi za Jiwe gazeti gani lingeweza report habari kama hii?Gazeti la mwananchi limeripoti kuwa gari lenye namba za serikali limenaswa likiwa na kilo 430 za dawa za kulevya huku mmiliki wake akitokomea kusikojulikana na anaendelea kusakwa kila kona bila mafanikio.
My take.
Kwa kasi hii mateja na watu wanaotoa udenda barabarani wataanza kuonekana tena. Paul Makonda rudi kazini aisee uokoe vijana wetu.
Noted with thanksUmesoma vizuri? Aliyekimbia siyo dereva ni mmiliki wa dawa hizo.