Ku report maana yake unaje expose wewe unaye report hiyo habari, kufanya hiyo biashara ni siri kati yako wewe na mteja wako, so huwezi ku compare hivi vitu viwiliKama kuripoti tuu walikuwa wanaogopa, je kusafirisha wangeweza, Sasa wewe uliyekuwa unafanya hiyo biashara na mkikamatwa halafu mnamalizana kimyakimya lete ushuhuda hapa
Nyumbu hovyo kabisa.
So madawa yaliisha? Mimi jiwe alichofanya vizuri though kwa expense za nyongeza za mishahara, ukosefu wa ajira na kunyanganya wafanyabiashara pesa zao ni miundombinu tu, ila kwa asilimia kubwa jamaa alikuwa janga la Taifa. I personally and really thank God kwa kuingilia kati. Let his soul rest in hell.Moja ya vitu vichache sana nilivyokubaliana na jiwe ni kwenye madawa ya kulevya hasa hasa baada ya kuwashughulikia mapapa hawa wa madawa
N.k
- kiboko
- Yangayanga
- Nsembo
- lupembe
- Muddy mkumba
- Karume karume
- mgosi
- Jeremiah
Mapapa yote yaliufyata na kukimbilia nchi nyingine
Dereva alikuwa anatafuta namna ya kujikimuGazeti la mwananchi limeripoti kuwa gari lenye namba za serikali limenaswa likiwa na kilo 430 za dawa za kulevya huku mmiliki wake akitokomea kusikojulikana na anaendelea kusakwa kila kona bila mafanikio.
My take.
Kwa kasi hii mateja na watu wanaotoa udenda barabarani wataanza kuonekana tena. Paul Makonda rudi kazini aisee uokoe vijana wetu.
Jamaa anajua kucheza na fursa vzr snMsoga dynasity imerudi
Hapo kesi ndiyo imeishia hapoAliye watonya anamjua na mhusika.
Kwani Hilo gari lilikutwa limepaki mjini? Si Kuna dereva au mtu aliyekua nalo. Tuanze na huyo. Au mnataka kutuaminisha kwamba alikimbia mkashindwa kumpiga risasi?
Umeambuwa gari lenye namba za serikali.. lakini haimaanishi kuwa ni gari halisi ya serikali huenda mtu kabandika namba fekiMmliki wake si ni serikali?
Ama munamaanisha dereva?
Anywas: Kamba zimeanza kukatika kwa hiyo ni kula popote.
Si umesema gari kwenye namba za serikali? Mmiliki wake nani tena zaidi ya serikali yenyewe, vinginevyo ziwe za kughushi.Gazeti la mwananchi limeripoti kuwa gari lenye namba za serikali limenaswa likiwa na kilo 430 za dawa za kulevya huku mmiliki wake akitokomea kusikojulikana na anaendelea kusakwa kila kona bila mafanikio.
My take.
Kwa kasi hii mateja na watu wanaotoa udenda barabarani wataanza kuonekana tena. Paul Makonda rudi kazini aisee uokoe vijana wetu.
Mmiliki wa gari ni serikali kwani kapotea kwa vipi?Gazeti la mwananchi limeripoti kuwa gari lenye namba za serikali limenaswa likiwa na kilo 430 za dawa za kulevya huku mmiliki wake akitokomea kusikojulikana na anaendelea kusakwa kila kona bila mafanikio.
My take.
Kwa kasi hii mateja na watu wanaotoa udenda barabarani wataanza kuonekana tena. Paul Makonda rudi kazini aisee uokoe vijana wetu.
Hapo ndiyo imetokaSi umesema gari kwenye namba za serikali? Mmiliki wake nani tena zaidi ya serikali yenyewe, vinginevyo ziwe za kughushi.
Sijui Kama umenielewa, kwani wanapokamatwa majambazi sugu ujambazi huwa unaisha?So madawa yaliisha? Mimi jiwe alichofanya vizuri though kwa expense za nyongeza za mishahara, ukosefu wa ajira na kunyanganya wafanyabiashara pesa zao ni miundombinu tu, ila kwa asilimia kubwa jamaa alikuwa janga la Taifa. I personally and really thank God kwa kuingilia kati. Let his soul rest in hell.
Duh ! Kimbunga jobo phase two ?!!Kilo 400 za madawa ni nyingi sana, hizo ni za watu wazito sana na zenye kuwa na tracking ya hali ya juu haiwezi kutokea kusafirishwa kizembe hivyo.
Bashite No ! Magufuli Yes he was serious about it !!Yaani kuna watu wanaamini kabisa kwamba Bashite alikuwa anapambana na Dawa za kulevya!!
Serikali ni kubwa sana na magari ni mengi sana ila likitajwa namba zake litajulikana ni la ofisi gani na kutoka mkoa au wilaya gani !!Mmiliki si serikali Jaman?
Kama umeuliza kisha ukaweka na emoji ya kucheka ujue imetoka hiyo !! Au kisasa wanasema imetoka hiyo !!!Kwani wale wezi waliojiunganishia bomba la mafuta kule kigamboni walishiia wapi, hatusikii chochoteš
Ikitangazwa wengine wakisikia wataogopa baadhi yao !!Vijana wananiangusha sana kwa kukokuwa wafuatiliaji wale wote ambao wanaona wakilimwa mvua ni watu maarufu ndio maana unakuta vyombo vya habari vinamulika sana ila kiukweli watu wanafungwa vizuri kabisa
Sukuma gang wameanza kumchokonoa mtoto wa mzee wa msoga ka kufakamia dili zake, ngoja tuoneGazeti la mwananchi limeripoti kuwa gari lenye namba za serikali limenaswa likiwa na kilo 430 za dawa za kulevya huku mmiliki wake akitokomea kusikojulikana na anaendelea kusakwa kila kona bila mafanikio.
My take.
Kwa kasi hii mateja na watu wanaotoa udenda barabarani wataanza kuonekana tena. Paul Makonda rudi kazini aisee uokoe vijana wetu.
Nadhani hapa inabidi credit ziende kwa polisi na mamlaka nzima ya kudhibiti na kuzuia Dawa za kulevya. Bila kumsahau Kamishna James Kaji. Alipiga kazi sana sema ndio vile sijui kwelu kapangiwa kazi ingine kama siku ya uteuzi wa kamishna mpya.Moja ya vitu vichache sana nilivyokubaliana na jiwe ni kwenye madawa ya kulevya hasa hasa baada ya kuwashughulikia mapapa hawa wa madawa
N.k
- kiboko
- Yangayanga
- Nsembo
- lupembe
- Muddy mkumba
- Karume karume
- mgosi
- Jeremiah
Mapapa yote yaliufyata na kukimbilia nchi nyingine
Yaani watu mnapenda sana Political Drama...
Niliwahi kuhoji hapa JF lakini sikuwahi kujibiwa kwamba:-
1. USA na DEA yake yote ambayo imejaa well trained military officers, lakini wameshindwa kudhibiti mihadarati
2. China na Iran ukikamatwa na mzigo inakuwa ndo mwisho wa uhai wako... bado watu wanapeleka drugs hadi huko!
3. Europe, kote huko wana raslimali za kutosha... kuanzia tech hadi well trained military personnels lakini hadi kesho watu wanaingiza drugs Europe!!
Akina nyie, Makonda kwenda kwenye TV na kutangaza wauza ngada ndo tayari mnaamini alidhibiti mihadarati!
Hivi katika wale ambao aliwatangaza, ni wangapi waliweza kuhukumiwa?! Hivi unaamini kabisa biashara ambayo mtu inamwingizia billions anaweza kuiacha kirahisi rahisi tu?