Gari la Serikali lanaswa na madawa ya kulevya

Kama kuripoti tuu walikuwa wanaogopa, je kusafirisha wangeweza, Sasa wewe uliyekuwa unafanya hiyo biashara na mkikamatwa halafu mnamalizana kimyakimya lete ushuhuda hapa

Nyumbu hovyo kabisa.
Ku report maana yake unaje expose wewe unaye report hiyo habari, kufanya hiyo biashara ni siri kati yako wewe na mteja wako, so huwezi ku compare hivi vitu viwili
 
So madawa yaliisha? Mimi jiwe alichofanya vizuri though kwa expense za nyongeza za mishahara, ukosefu wa ajira na kunyanganya wafanyabiashara pesa zao ni miundombinu tu, ila kwa asilimia kubwa jamaa alikuwa janga la Taifa. I personally and really thank God kwa kuingilia kati. Let his soul rest in hell.
 
Dereva alikuwa anatafuta namna ya kujikimu
 
Aliye watonya anamjua na mhusika.
Kwani Hilo gari lilikutwa limepaki mjini? Si Kuna dereva au mtu aliyekua nalo. Tuanze na huyo. Au mnataka kutuaminisha kwamba alikimbia mkashindwa kumpiga risasi?
Hapo kesi ndiyo imeishia hapo
 
Mmliki wake si ni serikali?
Ama munamaanisha dereva?

Anywas: Kamba zimeanza kukatika kwa hiyo ni kula popote.
Umeambuwa gari lenye namba za serikali.. lakini haimaanishi kuwa ni gari halisi ya serikali huenda mtu kabandika namba feki
 
Si umesema gari kwenye namba za serikali? Mmiliki wake nani tena zaidi ya serikali yenyewe, vinginevyo ziwe za kughushi.
 
Mmiliki wa gari ni serikali kwani kapotea kwa vipi?
 
Sijui Kama umenielewa, kwani wanapokamatwa majambazi sugu ujambazi huwa unaisha?
Nimekueleza kuwakamata hao mapapa nilikubaliana nae.
Kwa sababu hayakuisha basi hao hawakutakiwa kukamatwa?
 
Kilo 400 za madawa ni nyingi sana, hizo ni za watu wazito sana na zenye kuwa na tracking ya hali ya juu haiwezi kutokea kusafirishwa kizembe hivyo.
Duh ! Kimbunga jobo phase two ?!!
 
Kwani wale wezi waliojiunganishia bomba la mafuta kule kigamboni walishiia wapi, hatusikii chochotešŸ˜‚
 
Kwani wale wezi waliojiunganishia bomba la mafuta kule kigamboni walishiia wapi, hatusikii chochotešŸ˜‚
Kama umeuliza kisha ukaweka na emoji ya kucheka ujue imetoka hiyo !! Au kisasa wanasema imetoka hiyo !!!
 
Vijana wananiangusha sana kwa kukokuwa wafuatiliaji wale wote ambao wanaona wakilimwa mvua ni watu maarufu ndio maana unakuta vyombo vya habari vinamulika sana ila kiukweli watu wanafungwa vizuri kabisa
Ikitangazwa wengine wakisikia wataogopa baadhi yao !!
 
Sukuma gang wameanza kumchokonoa mtoto wa mzee wa msoga ka kufakamia dili zake, ngoja tuone
 
Nadhani hapa inabidi credit ziende kwa polisi na mamlaka nzima ya kudhibiti na kuzuia Dawa za kulevya. Bila kumsahau Kamishna James Kaji. Alipiga kazi sana sema ndio vile sijui kwelu kapangiwa kazi ingine kama siku ya uteuzi wa kamishna mpya.

Serikali ingekuwa inahabarisha juu ya kesi zilizoendelea. Kuna moja ya kina Saidi na Allu wanamuita mdogo wake wema sijui imeishia wapi. Walikamatwa na dawa za kulevya hawa.

Wale wapikistan waliokuja na kimbunga jobu nao kesi yao haihabarishwi umma imeendeleaje.

Kuna watu kama kina Shkuba the largest drug kingpin inasemekana kamaliza kifungo huko Florida marekani inabidi tujue yuko wapi au amerudi kinyemela nchini.

PR lazima itumike kama njia ya ku prevent others to engege in the multibillion dollar bisiness without office or executives.

Yupo kijana akiitwa Rumishael mamkuu shoo huyu alishikwa kenya na kusaidikiwa walikuwa na laboratory ya kufyatua ephedrine & metamphetamine. Kesi iliisha lakini public haikujua maendeleo ga huyu Rummy 26 square.
 
Wambie waelewe hiyo ni vita ngumu iliwahi kutengenezwa submarine ya kienyeji ambayo ilikuwa inapitsha madawa katika mto Mississipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…