Nyumba ndo huzimwa, gari ikiwaka acheni iteketeeMimi niliona mwazo mpaka mwisho nikasema huu mtaa sio japo naupenda sana watu wengi tulikuwa tunashangaa linavyo ungua hila wanasema chanzo ni mfumo wa umeme wa gari
Bima yenyewe undervalued au third partyAmepata sababu ya kununua gari mpya kwa hela ya bima..
Nyumba ndo huzimwa, gari ikiwaka acheni iteketee
Kivuli cha paskali nimekiona ameweka mkono mfukoni mwingine wa kulia akirekodi.Wewe ulitoa msaada gani pasco
Au ulikuwa unachukua tu kideo
Ova
Nyumba bima hawakulipi.Kwanini?
Nyumba bima hawakulipi.
Gari bima watakulipa
NB kama una comprehensive
umbea ndio umekuja kumsema mshkaji wetu huko boya weweSiku hizi kumekuwa na tabia ya baadhi ya wamiliki wanalipua moto ili walipwe na bima.yaani unakuta mtu ana bima kubwa gari kashalichoka sasa anafanya hivyo ili kulipwa jingine.huu mchezo hata jamaa yangu alifanya hivyo raum yake na kweli bhana alihonga nadani mejeja wa bima na hadi kapewa lingine.kwa sas hii ndio habari ya mujini.
Ngoja nichomekee neti kwanza
Ye mwenyewe hakutoa msaada [emoji1]
Ova
Labda wakati unakata ulikuwa mjinga.Kuna baadhi ya bima za nyumba zinalipa ukisema
Hazilipi kwahio izo bima wanafanya utapeli sio
Kwani udereva waliuokota kama dodo?Tatizo siyo fire extinguisher tatizo wananchi wana elimu ya kutumia hivyo vifaa.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Nimeshangaa kuona gari inawaka halafu gari nyingine zinapita pembeni bila wasiwasiWanabodi
Hii ni sasa hivi maeneo ya Mbezi Beach Tangi Bovu,
Ingekuwa ni maeneo ya Uswazi watu angalau wangejitahidi kidogo, japo kusaidia kuzima kwa mchanga!, lakini haya maeneo ya kishure, washure wanakodolea tuu macho!.
Zimamoto ndio usizungumzie kabisa!.
Mtanisame nili staafu uandishi wa reporting hivyo sikuweza kuuliza lolote, ila by looking kwenye hiyo video, milango iko wazi ku signify waliokuwa kwenye gari wote wamesalimika.
Kuna zile standby gari za fire za private companies maeneo mbali mbali ikiwemo pale Mwenge, Morocco, Mbuyuni, huwa ni za nini?.
Uswazi kuna uzuri wake!
Pole wahanga!.
P
MotoUnataka kuwabebesha Fire lawama za bure, gari za sasahivi ikianza kuwaka hata fire iwe nyuma yako haizimi, ni makarasi ya aluminium, gari inawaka inabaki fuvu engine na gearbox vyote vina yayuka hiyo fire itakuja kuzima nini!!?
Labda wakati unakata ulikuwa mjinga.
Bima nyingi za nyumba ni za MOTO, wengi hawaweki kipengele cha Matetemeko, Mafuriko etc.
Na nyumba haziwaki moto
JF ina Watumiaji 600,000Kwahiyo humu kila mtu anakaa Daslam maana nasikia mara namie nimeiona asubuhi wakati napita wengine mara namie nilikuwepo.
Ninaekaa Mlali ni mie pekee yangu kumbe.