Gari lalipuka Moto Mbezi Beach!. Hakuna Msaada Wowote wa Zimamoto/Wananchi ni Kukodoa tu Macho Kuangalia kama Sinema!

Gari lalipuka Moto Mbezi Beach!. Hakuna Msaada Wowote wa Zimamoto/Wananchi ni Kukodoa tu Macho Kuangalia kama Sinema!

Unataka kuwabebesha Fire lawama za bure, gari za sasahivi ikianza kuwaka hata fire iwe nyuma yako haizimi, ni makarasi ya aluminium, gari inawaka inabaki fuvu engine na gearbox vyote vina yayuka hiyo fire itakuja kuzima nini!!?
 
Siku hizi kumekuwa na tabia ya baadhi ya wamiliki wanalipua moto ili walipwe na bima.yaani unakuta mtu ana bima kubwa gari kashalichoka sasa anafanya hivyo ili kulipwa jingine.huu mchezo hata jamaa yangu alifanya hivyo raum yake na kweli bhana alihonga nadani mejeja wa bima na hadi kapewa lingine.kwa sas hii ndio habari ya mujini.
Ngoja nichomekee neti kwanza
umbea ndio umekuja kumsema mshkaji wetu huko boya wewe
 
Wanabodi
Hii ni sasa hivi maeneo ya Mbezi Beach Tangi Bovu,

Ingekuwa ni maeneo ya Uswazi watu angalau wangejitahidi kidogo, japo kusaidia kuzima kwa mchanga!, lakini haya maeneo ya kishure, washure wanakodolea tuu macho!.

Zimamoto ndio usizungumzie kabisa!.

Mtanisame nili staafu uandishi wa reporting hivyo sikuweza kuuliza lolote, ila by looking kwenye hiyo video, milango iko wazi ku signify waliokuwa kwenye gari wote wamesalimika.

Kuna zile standby gari za fire za private companies maeneo mbali mbali ikiwemo pale Mwenge, Morocco, Mbuyuni, huwa ni za nini?.

Uswazi kuna uzuri wake!
Pole wahanga!.
P

Nimeshangaa kuona gari inawaka halafu gari nyingine zinapita pembeni bila wasiwasi
 
Fundi maiko leo na mpeleka polisi jana nilieleza alphad baada ya kuwasha gari inafungua vioo.

Yupo hapa anatoa macho kamuita jamaa ndio anashugulikia
 
Back
Top Bottom