Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gari lililozama 29/9/2019 limepatikana.
Gari lilidondoka kutoka kwa Ferry na kuzama bahari hindi
Gari lilikuwa na na watu wawili mama na bingi yake.
Gari lilikuwa kimo Cha takribani km 50. Juhudi za kuikoa zinaendelea.
Hapo mleta uzi kateleza.Kimo cha km (kilometers) 50? Basi hapo mahali ni parefu balaaa
Labda alimaanisha meta 50 kwa km 50 kwenda chini nakataaHapo mleta uzi kateleza.
The deepest place in the ocean is Mariana trench which is 11km. Sasa wewe hii 50km umeipata wapi? Au hujui hata vipimo. Kama 50m hapo sawaGari lililozama 29/9/2019 limepatikana.
Gari lilidondoka kutoka kwa Ferry na kuzama bahari hindi
Gari lilikuwa na na watu wawili mama na bingi yake.
Gari lilikuwa kimo Cha takribani km 50. Juhudi za kuikoa zinaendelea.
Mwenyewe hizo kilomita nimeshangaa sana maana hazipo kabisaThe deepest place in the ocean is Mariana trench which is 11km. Sasa wewe hii 50km umeipata wapi? Au hujui hata vipimo. Kama 50m hapo sawa
Auto correct kwa Simu bana Samahani. Yeah the deepest part is in the Pacific ocean known as Challenger deep in Guam that forms the Mariana trench. 😁😁The deepest place in the ocean is Mariana trench which is 11km. Sasa wewe hii 50km umeipata wapi? Au hujui hata vipimo. Kama 50m hapo sawa
Mtu kasema meter 50 wewe unasema kilomita 50???kwel tz bado sna kufikia uchumi wa viwandaKimo cha km (kilometers) 50? Basi hapo mahali ni parefu balaaa
Sasa si nimeuliza swali yeye amesema gari ina maana hakukuwa na watu auKuwa serious
Kama mwalimu wako wa geography nakupa 👊🏿The deepest place in the ocean is Mariana trench which is 11km. Sasa wewe hii 50km umeipata wapi? Au hujui hata vipimo. Kama 50m hapo sawa
The deepest place in the ocean is Mariana trench which is 11km. Sasa wewe hii 50km umeipata wapi? Au hujui hata vipimo. Kama 50m hapo sawa
Amerekebisha...........ni mita 50.Kimo cha km (kilometers) 50? Basi hapo mahali ni parefu balaaa
Imefanyiwa editing hiyo post,tulia soma maelezo utaelewa.Mtu kasema meter 50 wewe unasema kilomita 50???kwel tz bado sna kufikia uchumi wa viwanda
Wakurupukaji hawakosekani mkuu.Imefanyiwa editing hiyo post,tulia soma maelezo utaelewa.
nyie ndo mnateleza mleta mada kaandika mita 50.Hapo mleta uzi kateleza.
ahahaaaMtu kasema meter 50 wewe unasema kilomita 50???kwel tz bado sna kufikia uchumi wa viwanda
Wewe utakuwa umeufungua uzi huu baada ya kuwa umerekebishwa ila kabla ya hapo jamaa alikuwa ameandika 50 kmsnyie ndo mnateleza mleta mada kaandika mita 50.
we hujui kitu mwenzio kaisha edit makosa unakuta mambo shwari unaanza kubwatukaMtu kasema meter 50 wewe unasema kilomita 50???kwel tz bado sna kufikia uchumi wa viwanda
Mbona Mlandizi mbona isiwe Mlamaembe?itakuwa ni mita 50 sio km 50 maana km 50 ni sawa na Ubungo to Mlandizi