Gari limeacha njia na kuparamia fremu za maduka Ubungo Riverside

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Gari lenye namba za usajili T405 DPJ limeacha njia na kuparamia fremu za maduka na mabucha ya samaki eneo la Ubungo Riverside Jijini Dar es salaam asubuhi leo December 02,2024.

Hadi sasa majeruhi wanne waliokuwa ndani ya fremu hizo wametolewa na jitihada za Jeshi la Zimamoto na Uokoaji na Wananchi kuwaokoa Watu wengine walio ndani ya fremu zinaendelea.

Your browser is not able to display this video.
 
Hivi kwanini zinaitwa Fremu? Hili jina linanitatiza sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…