Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Gari lenye namba za usajili T405 DPJ limeacha njia na kuparamia fremu za maduka na mabucha ya samaki eneo la Ubungo Riverside Jijini Dar es salaam asubuhi leo December 02,2024.
Hadi sasa majeruhi wanne waliokuwa ndani ya fremu hizo wametolewa na jitihada za Jeshi la Zimamoto na Uokoaji na Wananchi kuwaokoa Watu wengine walio ndani ya fremu zinaendelea.
Hadi sasa majeruhi wanne waliokuwa ndani ya fremu hizo wametolewa na jitihada za Jeshi la Zimamoto na Uokoaji na Wananchi kuwaokoa Watu wengine walio ndani ya fremu zinaendelea.