Gari lipi linafaa zaidi? Naombeni ushauri wenu

Gari lipi linafaa zaidi? Naombeni ushauri wenu

Habari.

Nimeombwa ushauri, na mie nikaona busara kupata mawazo chanya zaidi kutoka hapa JF.

Ninaye jirani yangu ambaye anataka kununua gari jingine (naweza sema ku-upgrade) na kuliuza hili alilonalo kwa sasa.

Kwa sasa anamiliki IST ambayo anaiona ndogo kwa sababu familia imekua kubwa. Mara nyingi gari hii hutumiwa na mkewe (mwalimu) kwendea shule na church na pia issue za hapa na pale.

Alisema budget yake ni 15 to 20M, hivyo mie nilimshauri anunue Harrier Tako la Nyani...akasema zimekuwa common sana then nikamwambia aagize Toyota Alphard...nayo akasema ndefu sana eti kama unapaki lory lol.

Katika pita zangu JF nikaona post za Nissan Duallis ndo nafikiria nimwambie khs hiyo

Je, wana JF, kulingana na haya mahitaji yake... tumshauri gari lipi hasa litakalotimiza mahitaji yake kwa sasa? Anataka gari liwe;
  • Confortable and good looking
  • Liwe na nguvu but si zaidi ya 2000 CC
  • Lenye security features nzuri
  • Analoweza tumia kwa safari za 1000km+
  • Liwe lenye mwendo pia
Natanguliza shukrani za dhati kwa mchango wa mawazo mtakaouleta.
Kwa hela hiyo aagize Rav 4 kill time ni 4 wheel na iko juu unaingia sehemu yoyote,sio hiyo Alphad iko chini mno
 
Subaru Forester XT
Nissan Duallis
Toyota Ruminion

Ipi kali kwenye hizo?

Asante sana...
Me si mtaalamu sana wa magari. Yaweza kuwa mapenzi yangu tu dhidi ya XT.😀
Ila nimecheki mtandaoni(Google) naona stll XT anapata rating nzuri dhidi ya dualis 4 dhidi ya 3.5.
Ila vingi kama zinafanana.
Labda wataalamu zaidi waje cc Mad Max
 
Habari.

Nimeombwa ushauri, na mie nikaona busara kupata mawazo chanya zaidi kutoka hapa JF.

Ninaye jirani yangu ambaye anataka kununua gari jingine (naweza sema ku-upgrade) na kuliuza hili alilonalo kwa sasa.

Kwa sasa anamiliki IST ambayo anaiona ndogo kwa sababu familia imekua kubwa. Mara nyingi gari hii hutumiwa na mkewe (mwalimu) kwendea shule na church na pia issue za hapa na pale.

Alisema budget yake ni 15 to 20M, hivyo mie nilimshauri anunue Harrier Tako la Nyani...akasema zimekuwa common sana then nikamwambia aagize Toyota Alphard...nayo akasema ndefu sana eti kama unapaki lory lol.

Katika pita zangu JF nikaona post za Nissan Duallis ndo nafikiria nimwambie khs hiyo

Je, wana JF, kulingana na haya mahitaji yake... tumshauri gari lipi hasa litakalotimiza mahitaji yake kwa sasa? Anataka gari liwe;
  • Confortable and good looking
  • Liwe na nguvu but si zaidi ya 2000 CC
  • Lenye security features nzuri
  • Analoweza tumia kwa safari za 1000km+
  • Liwe lenye mwendo pia
Natanguliza shukrani za dhati kwa mchango wa mawazo mtakaouleta.
Anataka gari ya familia?european cars zipo nying sana zenye sifa hzo ulizotaja...

Wabongo tumekremisha sana MJAPAN
 
Subaru Forester XT
Nissan Duallis
Toyota Ruminion

Ipi kali kwenye hizo?

Asante sana...
Toyota corolla spacio ni gari nzuri na ngumu na ina nafasi kubwa atoke huko kwa IST ahamie spacio kwa furl consumption ileile lakini ndani ya umbo kubwa.
 
Anataka gari ya familia?european cars zipo nying sana zenye sifa hzo ulizotaja...

Wabongo tumekremisha sana MJAPAN
Tatizo la hayo magari mnayo yasema ni moja tu, hata ukipasua sidemirror hadi usubiri ikatafutwe dar au arusha hhahaaaa na ikikata fanbelt ndio kabisa unapaki gari siku tano hadi wiki kusubiri spare itafutwe dar au nairobi kabisa unakuwa utumwa huo .

Kama nissan ambaye ni mjapani tu watu wana haha spare parts ndo ije mjeruman au muingereza? Nina jamaa yangu gari ilimharibikia njian BMW X5 imekata sijui kitu gani chini huko hahaha gari ina wiki ya pili sasa kadanganywa dar kuna spare katafuta kaikosa ndio kaja kupata wanao agiza spare za European cars ndio wamemuagizia

Sasa wiki nzima kama huna gari nyingine basi unatembea hahahahaaaa utumwa kabisa ni sawa na gereza la dhahabu.

Wakati toyota hata kwa mangi unapata parts yako una chana mwendo na kuokoa muda
 
Back
Top Bottom