KINGSLEE
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 830
- 1,046
Sory naomba kujua kwanini umesisistiza Engine ya Valvematic na siyo VVTI AU D4?Toyota ISIS pia iko sawa, akipata mpya yenye Valvematic iko poa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sory naomba kujua kwanini umesisistiza Engine ya Valvematic na siyo VVTI AU D4?Toyota ISIS pia iko sawa, akipata mpya yenye Valvematic iko poa sana.
Valvematic iko more refined kuliko hizo VVT-i na D-4!Sory naomba kujua kwanini umesisistiza Engine ya Valvematic na siyo VVTI AU D4?
Okay sawa.Valvematic iko more refined kuliko hizo VVT-i na D-4!
Kwa hela hiyo aagize Rav 4 kill time ni 4 wheel na iko juu unaingia sehemu yoyote,sio hiyo Alphad iko chini mnoHabari.
Nimeombwa ushauri, na mie nikaona busara kupata mawazo chanya zaidi kutoka hapa JF.
Ninaye jirani yangu ambaye anataka kununua gari jingine (naweza sema ku-upgrade) na kuliuza hili alilonalo kwa sasa.
Kwa sasa anamiliki IST ambayo anaiona ndogo kwa sababu familia imekua kubwa. Mara nyingi gari hii hutumiwa na mkewe (mwalimu) kwendea shule na church na pia issue za hapa na pale.
Alisema budget yake ni 15 to 20M, hivyo mie nilimshauri anunue Harrier Tako la Nyani...akasema zimekuwa common sana then nikamwambia aagize Toyota Alphard...nayo akasema ndefu sana eti kama unapaki lory lol.
Katika pita zangu JF nikaona post za Nissan Duallis ndo nafikiria nimwambie khs hiyo
Je, wana JF, kulingana na haya mahitaji yake... tumshauri gari lipi hasa litakalotimiza mahitaji yake kwa sasa? Anataka gari liwe;
Natanguliza shukrani za dhati kwa mchango wa mawazo mtakaouleta.
- Confortable and good looking
- Liwe na nguvu but si zaidi ya 2000 CC
- Lenye security features nzuri
- Analoweza tumia kwa safari za 1000km+
- Liwe lenye mwendo pia
Subaru forester xtView attachment 1681659
Naungana na wadau hapo achukue subaru forester XT
Hata toyota Ruminion pia si mbaya.
Anataka gari isiyozidi million 20,Honda crossroad
Wameiharibu sana hiii gari aiseee.
Ile Box body ilikua poa sana.
Anaijua alufadi kweli? Mwambie anunue ALPHARD.
Me si mtaalamu sana wa magari. Yaweza kuwa mapenzi yangu tu dhidi ya XT.😀Subaru Forester XT
Nissan Duallis
Toyota Ruminion
Ipi kali kwenye hizo?
Asante sana...
Habari Jombaa, Nipe maoni yako kuhusu Suzuki Jimny (second generation, 1995 - 1998). Specifically, nataka manual. Gharama zake za umiliki inaweza kufanana na Toyata? I'm very cheap guy.Toyota ISIS pia iko sawa, akipata mpya yenye Valvematic iko poa sana.
not likely suzuki parts zake ni ghali ila gar ngumu sana.Habari Jombaa, Nipe maoni yako kuhusu Suzuki Jimny (second generation, 1995 - 1998). Specifically, nataka manual. Gharama zake za umiliki inaweza kufanana na Toyata?
Anataka gari ya familia?european cars zipo nying sana zenye sifa hzo ulizotaja...Habari.
Nimeombwa ushauri, na mie nikaona busara kupata mawazo chanya zaidi kutoka hapa JF.
Ninaye jirani yangu ambaye anataka kununua gari jingine (naweza sema ku-upgrade) na kuliuza hili alilonalo kwa sasa.
Kwa sasa anamiliki IST ambayo anaiona ndogo kwa sababu familia imekua kubwa. Mara nyingi gari hii hutumiwa na mkewe (mwalimu) kwendea shule na church na pia issue za hapa na pale.
Alisema budget yake ni 15 to 20M, hivyo mie nilimshauri anunue Harrier Tako la Nyani...akasema zimekuwa common sana then nikamwambia aagize Toyota Alphard...nayo akasema ndefu sana eti kama unapaki lory lol.
Katika pita zangu JF nikaona post za Nissan Duallis ndo nafikiria nimwambie khs hiyo
Je, wana JF, kulingana na haya mahitaji yake... tumshauri gari lipi hasa litakalotimiza mahitaji yake kwa sasa? Anataka gari liwe;
Natanguliza shukrani za dhati kwa mchango wa mawazo mtakaouleta.
- Confortable and good looking
- Liwe na nguvu but si zaidi ya 2000 CC
- Lenye security features nzuri
- Analoweza tumia kwa safari za 1000km+
- Liwe lenye mwendo pia
Anataka gari ya familia?european cars zipo nying sana zenye sifa hzo ulizotaja...
Wabongo tumekremisha sana MJAPAN
Mwambie huko Google kuna magari bomba sana huku unatuchosha tu.Ndio mkuu ya familia.... unashauri matoleo/ brand yepi mkuu?
Toyota corolla spacio ni gari nzuri na ngumu na ina nafasi kubwa atoke huko kwa IST ahamie spacio kwa furl consumption ileile lakini ndani ya umbo kubwa.Subaru Forester XT
Nissan Duallis
Toyota Ruminion
Ipi kali kwenye hizo?
Asante sana...
Toyota spacio iko poa sanaNdio mkuu ya familia.... unashauri matoleo/ brand yepi mkuu?
Tatizo la hayo magari mnayo yasema ni moja tu, hata ukipasua sidemirror hadi usubiri ikatafutwe dar au arusha hhahaaaa na ikikata fanbelt ndio kabisa unapaki gari siku tano hadi wiki kusubiri spare itafutwe dar au nairobi kabisa unakuwa utumwa huo .Anataka gari ya familia?european cars zipo nying sana zenye sifa hzo ulizotaja...
Wabongo tumekremisha sana MJAPAN
Bro, samahani! Alphard ground-clearance yake iko chini?Kwa hela hiyo aagize Rav 4 kill time ni 4 wheel na iko juu unaingia sehemu yoyote,sio hiyo Alphad iko chini mno