Gari lipi linafaa zaidi? Naombeni ushauri wenu

Gari lipi linafaa zaidi? Naombeni ushauri wenu

Habari Jombaa, Nipe maoni yako kuhusu Suzuki Jimny (second generation, 1995 - 1998). Specifically, nataka manual. Gharama zake za umiliki inaweza kufanana na Toyata? I'm very cheap guy.
Kwenye upande wa umiliki



Mengine, Extrovert Ameshaelezea.
 
Tatizo la hayo magari mnayo yasema ni moja tu, hata ukipasua sidemirror hadi usubiri ikatafutwe dar au arusha hhahaaaa na ikikata fanbelt ndio kabisa unapaki gari siku tano hadi wiki kusubiri spare itafutwe dar au nairobi kabisa unakuwa utumwa huo .

Kama nissan ambaye ni mjapani tu watu wana haha spare parts ndo ije mjeruman au muingereza? Nina jamaa yangu gari ilimharibikia njian BMW X5 imekata sijui kitu gani chini huko hahaha gari ina wiki ya pili sasa kadanganywa dar kuna spare katafuta kaikosa ndio kaja kupata wanao agiza spare za European cars ndio wamemuagizia

Sasa wiki nzima kama huna gari nyingine basi unatembea hahahahaaaa utumwa kabisa ni sawa na gereza la dhahabu.

Wakati toyota hata kwa mangi unapata parts yako una chana mwendo na kuokoa muda
Wanaomiliki hizo X5 wana gari nyingine nyumbani.

Sijawahi ona mtu anamiliki gari la Europe bila kuwa na gari ya pili.

Wengi wana uwezo, kuwa na gari ya pili ni kawaida.
 
Hizi hapa chini zitakufaa sana kama una familia kubwa:-

1.Toyota wish cc1790 lina seat saba
2.Toyota sienta cc1490 lina seat saba
3.Volkswagen touran cc 1600 lina seat saba
4. Mark x zio cc 2390 lina seat saba
5. Toyota passo sette cc1490 lina seat saba
6. Toyota noah cc 1990 lina seat saba
7. Nissan xtrail cc1990 lina seat tano
8. Mazda mpv cc2000 seat 5 +2
9..............
9.Toyota isis
 
Wanaomiliki hizo X5 wana gari nyingine nyumbani.

Sijawahi ona mtu anamiliki gari la Europe bila kuwa na gari ya pili.

Wengi wana uwezo, kuwa na gari ya pili ni kawaida.
Wapo ambao hawana nyingine.
Kuna mtu ana X3 na hana gari nyingine, pia kuna mwingine ana Audi hiyo moja tu
 
anunue wish sasa c anafamilia kubwa mle mnaingia 10 na mafuta n kama ya kuungia samaki kdogo tu
 
Back
Top Bottom