Prodigy Oligarchy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2020
- 571
- 653
Kwenye upande wa umilikiHabari Jombaa, Nipe maoni yako kuhusu Suzuki Jimny (second generation, 1995 - 1998). Specifically, nataka manual. Gharama zake za umiliki inaweza kufanana na Toyata? I'm very cheap guy.
Wanaomiliki hizo X5 wana gari nyingine nyumbani.Tatizo la hayo magari mnayo yasema ni moja tu, hata ukipasua sidemirror hadi usubiri ikatafutwe dar au arusha hhahaaaa na ikikata fanbelt ndio kabisa unapaki gari siku tano hadi wiki kusubiri spare itafutwe dar au nairobi kabisa unakuwa utumwa huo .
Kama nissan ambaye ni mjapani tu watu wana haha spare parts ndo ije mjeruman au muingereza? Nina jamaa yangu gari ilimharibikia njian BMW X5 imekata sijui kitu gani chini huko hahaha gari ina wiki ya pili sasa kadanganywa dar kuna spare katafuta kaikosa ndio kaja kupata wanao agiza spare za European cars ndio wamemuagizia
Sasa wiki nzima kama huna gari nyingine basi unatembea hahahahaaaa utumwa kabisa ni sawa na gereza la dhahabu.
Wakati toyota hata kwa mangi unapata parts yako una chana mwendo na kuokoa muda
9.Toyota isisHizi hapa chini zitakufaa sana kama una familia kubwa:-
1.Toyota wish cc1790 lina seat saba
2.Toyota sienta cc1490 lina seat saba
3.Volkswagen touran cc 1600 lina seat saba
4. Mark x zio cc 2390 lina seat saba
5. Toyota passo sette cc1490 lina seat saba
6. Toyota noah cc 1990 lina seat saba
7. Nissan xtrail cc1990 lina seat tano
8. Mazda mpv cc2000 seat 5 +2
9..............
Wapo ambao hawana nyingine.Wanaomiliki hizo X5 wana gari nyingine nyumbani.
Sijawahi ona mtu anamiliki gari la Europe bila kuwa na gari ya pili.
Wengi wana uwezo, kuwa na gari ya pili ni kawaida.
Ndo maana nakwambia sijawahi kuona.Wapo ambao hawana nyingine.
Kuna mtu ana X3 na hana gari nyingine, pia kuna mwingine ana Audi hiyo moja tu
Hii gari inakunywa wese kama jini kisirani,kama anaouwezo wa kuchezea laki tano na kuendelea kwa ajili ya mafuta sawa ila kama uwezo mdogo bora achukue rav 4 na aiache kabisa subaru.Subaru forester xtView attachment 1681659
Ila Wish ni refu sana lipo kama Mijusi ya Mikoani ile shape[emoji23][emoji23][emoji23]
subaru ni gari za vijanaSubaru forester xtView attachment 1681659
Umewahi kuitumia?Hii gari inakunywa wese kama jini kisirani,kama anaouwezo wa kuchezea laki tano na kuendelea kwa ajili ya mafuta sawa ila kama uwezo mdogo bora achukue rav 4 na aiache kabisa subaru.
Opa inateleza mkuu gari yangu ya 2 kumiliki, ila gari ile nyepesi sana but kwa mbio ni balaaOpa ni ndege ya chini hataiweza [emoji23]
Halafu aipate yenye A au B sasa πOpa ni ndege ya chini hataiweza π
Ina cc ngapi mkuu?Subaru forester xtView attachment 1681659
Hivi bro engine ya 2.0L ni sawa na 2000cc?Hii pia inakuwa nje ya malengo incase yeye hataki engine ya 2.0L
Nyingi ni B na C numberHalafu aipate yenye A au B sasa π