kwa wepesi nakubaliana na wewe kabisa maana hata kulisukuma huwa sihitaji msaada. Nalisukuma mwenyewe tu ikitokea limegoma kuwaka.Opa inateleza mkuu gari yangu ya 2 kumiliki, ila gari ile nyepesi sana but kwa mbio ni balaa
Elfu moja mia tisaIna cc ngapi mkuu?
Mkuu hii ni model ya 2016?Elfu moja mia tisa
Aisee..Crown kwa comfortability na muonekano mwake ila ile ni kwa masingle na familia ambayo ni ndogo.
Gari za familia ni tako la nyani, Alphard, wish, Vanguard, dualis, x trial and the like.
Uko vizuriAlphard kwanza ni tamu sijui kama anaijua, asije kuwa anafananisha body lake na Noah!!
Nilishawahi safiri na Alphard Arusha to Dar, gari iko stable muonekano mzuri labda aseme haipendi sabb iko juu sana na pia mlango wa nyuma ndio vile yan kama tunafungua hiace.
Suzuki grand Vitara, mistubish outlanderHabari.
Nimeombwa ushauri, na mie nikaona busara kupata mawazo chanya zaidi kutoka hapa JF.
Ninaye jirani yangu ambaye anataka kununua gari jingine (naweza sema ku-upgrade) na kuliuza hili alilonalo kwa sasa.
Kwa sasa anamiliki IST ambayo anaiona ndogo kwa sababu familia imekua kubwa. Mara nyingi gari hii hutumiwa na mkewe (mwalimu) kwendea shule na church na pia issue za hapa na pale.
Alisema budget yake ni 15 to 20M, hivyo mie nilimshauri anunue Harrier Tako la Nyani...akasema zimekuwa common sana then nikamwambia aagize Toyota Alphard...nayo akasema ndefu sana eti kama unapaki lory lol.
Katika pita zangu JF nikaona post za Nissan Duallis ndo nafikiria nimwambie khs hiyo
Je, wana JF, kulingana na haya mahitaji yake... tumshauri gari lipi hasa litakalotimiza mahitaji yake kwa sasa? Anataka gari liwe;
Natanguliza shukrani za dhati kwa mchango wa mawazo mtakaouleta.
- Confortable and good looking
- Liwe na nguvu but si zaidi ya 2000 CC
- Lenye security features nzuri
- Analoweza tumia kwa safari za 1000km+
- Liwe lenye mwendo pia
Mistubish outlander ✔️✔️Kwa hiyo budget ningeenda for Subaru Forester XT au Mitsubishi Outlander.
Ford escapeAnataka gari ya familia?european cars zipo nying sana zenye sifa hzo ulizotaja...
Wabongo tumekremisha sana MJAPAN
Hivi Nissan X trail hizi za 2013 na kuendelea vipi? Naombeni kwa wente weledi