Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Yaani🙌🙌🙌🙌People are projecting their hate on everything they cant afford.
People are so bitter.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani🙌🙌🙌🙌People are projecting their hate on everything they cant afford.
People are so bitter.
Tushazoea maigizo
Hili bado linashangaza watu?hummer
Hahahaha brohTushazoea maigizo
Mpaka Dola 20,000 unapata gari nzuri kama hizo na zipo show room kabisaShingapi mkuu?
Hapo amelipia plate number tuu hamna kitu hata wewe ikitaka njoo inbox nikulipie uandike jina lako.Ogopa sana wasanii maana wana usanii mwingi.
Unadhani kila mtu anajua hiyo NENGA ni kitu gani? Ni nani huyo mtu kwanza. Maana vijana muna muda wa kufuatilia mambo ya kijinga jingaDuuh kumbe na ww huwa ni poyoyo level hii...
Kaandika jina lake (nickname) hapo 'NENGA'
Nimeona na yeye hamonaizi anayo kama hiyo wanasema naye kanunua hahaaa hawa wasanii wana heka heka nyingi sana.Hapo amelipia plate number tuu hamna kitu hata wewe ikitaka njoo inbox nikulipie uandike jina lako.
Chupa kimeamka na chaiUkitoa kusema "Neenga" Billnas anabaki na nini kwenye mziki?
$20,000 mbona hela ya kawaida tu kwa hawa wasanii wetu,ingekuwa hiyo bei si wengi wangekuwa nazoMpaka Dola 20,000 unapata gari nzuri kama hizo na zipo show room kabisa
Naunga mkono hojaWewe ni me ? Nawapa Pole wazazi wako !
Mimi sijaangalia Gari, nilikua nawaangalia hawa waandishi 😅😅😅😅😅 wasipoangalia wataishia hivo hivo.Ndinga jipya la msanii Billnass (Land Rover Defender) limezidi kuwa kivutio kwenye mitaa mbalimbali Jijini Dar es salaam,mapema leo hii alionekana nalo mitaa ya TAZARA na kuvutia wengi hususani mashabiki wake.
View attachment 3197653
Umetumwa wewe,kwani Kila mtu anawaza gari,wengine wanafungua miradi hawataki show off za kijinga$20,000 mbona hela ya kawaida tu kwa hawa wasanii wetu,ingekuwa hiyo bei si wengi wangekuwa nazo
Acha kukurupuka hakuna msanii asiyetaka show offUmetumwa wewe,kwani Kila mtu anawaza gari,wengine wanafungua miradi hawataki show off za kijinga