bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,370
- 3,962
Lakini si gari na inafanya kaz kama magari mengineAlly Kiba amenunua VITZ mpya nyeusi
Ww mond hajafikia kununua gari kama hiyo hiyo simba plate namba hapo ime editiwa tu cheki fresh hapo na mazingra yenyewe tusdanganyane.vizuri
Kweli maskini anafikra duniLakini si gari na inafanya kaz kama magari mengine
je tofaut gan ipo hapo uwe na gari ya kifahari ama gari inayofanya kaz na kukusaidia katika mishe za kila siku yote ni magari tu tofaut ipo kwenye bei na ubora na ufahari lakin kazi yake ni moja kuendesha na yote yanaendesheka.
Kila siku ina gari yake, angalia ile video ya utanipenda ndo utajua. na zimeandikwa kabisa Monday to Sunday.Mie Yanga, so hii Hainihusu
lakini
Hivi haya magari anazikwa nayo?
nauliza tu
Maana kama mtu una gari zako mbili
moja ya kutembelea na nyingine ya kuzungukia
unanunua nyingine saba za nini?
Basi hata tuyahurumie mazingira,
Maana hilo dude litaongeza hata kama 0.00007% ya Carbons halifai
Haya mnipige mawe sasa ...
Halafu ni left handWatanzania jamani, angalia iyo plate number na mazingira ya gari.
Mbona gari inabendera ya bongo?Msanii pekee wa Kimataifa kutoka ardhi ya Tanzania ambaye amefanya kolabo kibao na wasanii kutoka nchi ya Donald Trump kama Ne-Yo. Rihana, Rossey, leo kupitia akaunti yake ya Instagram ametupia picha ya gari yake mpya yenye hadhi ya wasanii wa kimataifa kama akina Jay Z, Kanye West, Birdman, Weezy na Breezy aina ya Rolls-Royce . Pamoja na hayo SIMBA himself ametoboka tena kiasi cha pesa za madafu milioni 10 (10,000,000) kulipia jina maalum la SIMBA.
Hahahaaaaaa! we jamaa Arusha ya wapi?hutu tugari arusha vijana wanatembelea kitaa sana,hakuna cha kushangaza hapo