Gari mpya ya kifahari ya Diamond Platnumz

Gari mpya ya kifahari ya Diamond Platnumz

Ally Kiba amenunua VITZ mpya nyeusi
Lakini si gari na inafanya kaz kama magari mengine
je tofaut gan ipo hapo uwe na gari ya kifahari ama gari inayofanya kaz na kukusaidia katika mishe za kila siku yote ni magari tu tofaut ipo kwenye bei na ubora na ufahari lakin kazi yake ni moja kuendesha na yote yanaendesheka.
 
Hiyo gari ametumia kushoot video, kupata uhakika zaidi angalia video yake ya marry you kuna gari rangi ya blue ina plate number imeandikwa SIMBA.
 
Lakini si gari na inafanya kaz kama magari mengine
je tofaut gan ipo hapo uwe na gari ya kifahari ama gari inayofanya kaz na kukusaidia katika mishe za kila siku yote ni magari tu tofaut ipo kwenye bei na ubora na ufahari lakin kazi yake ni moja kuendesha na yote yanaendesheka.
Kweli maskini anafikra duni
U duni wa waafrica unatokana na fikra zao dun
Leo hii tunazungumzia tren ya umeme Tanzania, kumbe wewe bado unateatea gari mosh, hilo ni tatizo
 
Mie Yanga, so hii Hainihusu

lakini

Hivi haya magari anazikwa nayo?

nauliza tu


Maana kama mtu una gari zako mbili
moja ya kutembelea na nyingine ya kuzungukia

unanunua nyingine saba za nini?

Basi hata tuyahurumie mazingira,

Maana hilo dude litaongeza hata kama 0.00007% ya Carbons halifai


Haya mnipige mawe sasa ...
Kila siku ina gari yake, angalia ile video ya utanipenda ndo utajua. na zimeandikwa kabisa Monday to Sunday.
 
Nimesikia mchezaji wa Chelsea Ngolo Kante ambaye mambo anayofanya huwezi kuhoji uwezo wake anatumia Starlet! Lakini wasanii wa bongo zawadi za birthdays tu wanazawadiana Range Rover!
 
Msanii pekee wa Kimataifa kutoka ardhi ya Tanzania ambaye amefanya kolabo kibao na wasanii kutoka nchi ya Donald Trump kama Ne-Yo. Rihana, Rossey, leo kupitia akaunti yake ya Instagram ametupia picha ya gari yake mpya yenye hadhi ya wasanii wa kimataifa kama akina Jay Z, Kanye West, Birdman, Weezy na Breezy aina ya Rolls-Royce . Pamoja na hayo SIMBA himself ametoboka tena kiasi cha pesa za madafu milioni 10 (10,000,000) kulipia jina maalum la SIMBA.

db8dc7b47b7e283b97af0872c33f46d1.jpg
Mbona gari inabendera ya bongo?
 
Acheni ushamba haya magari yamejaa town mbona
 
Back
Top Bottom