johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Bado natafiti baada ya kuona picha za wafungwa wakifunga kitambaa cha kijani kinachodaiwa kuwa ni bendera ya CCM kwenye milingoti jijini Dodoma.
Kama ni wafungwa waliomba kwa mapenzi mema kupandisha bendera za chama wanachokiamini basi hilo ni jambo jema.
Na kama UVCCM walijisahau na wakawaomba wafungwa wawasaidie kutekeleza majukumu yao basi hilo nalo ni jambo lingine tofauti.
Bendera ni tunu ya chama na ina heshima yake haiwezi kupandishwa tu na " mtu yoyote " kama bendera za Yanga au Simba.
Maendeleo hayana vyama!
Kama ni wafungwa waliomba kwa mapenzi mema kupandisha bendera za chama wanachokiamini basi hilo ni jambo jema.
Na kama UVCCM walijisahau na wakawaomba wafungwa wawasaidie kutekeleza majukumu yao basi hilo nalo ni jambo lingine tofauti.
Bendera ni tunu ya chama na ina heshima yake haiwezi kupandishwa tu na " mtu yoyote " kama bendera za Yanga au Simba.
Maendeleo hayana vyama!