Gari ni hitaji la lazima kwetu wanaume

Gari ni hitaji la lazima kwetu wanaume

Nyuki Mdogo

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2021
Posts
4,134
Reaction score
10,644
Ukiwa na Gari kuna mahitaji mengine hugharamiki nayo wala nini.

FB_IMG_1692717817478.jpg
 
Dada zetu wakiona Unadrive....

Dada zetu wakiona unaendesha Gari wanawehuka.

Nilikuwa Nachukua Gari ya Bro nilivyomaliza kidato Cha nne Mimama mijitu mizima ilikuwa inqchangamyikiwa sana....

!!!!!!!!!
 
Gari ni kitu inayoweza kukuheshimisha kukufanyia kitonga baadhi ya mambo kukufanya ukubalike sehemu ulizoonekana kajamba nani kwa kipindi fulani.

Mfano nilikua nakwenda sana pale afro oil kigamboni nikiwa na ka tvs kangu najaza tank wese ila nikiomba namba za totoz wa pale wanachomoa siku nikaingia na ndinga nikaweka mchuzi sikutumia nguvu kupata tabasamu la yule alieninyima namba na alihoji " naona umepanda chat" nilicheka nikasepa siku nakwenda tena na pikipiki alishajenga heshima alitoa namba bila hata longololongo. Gari ni muhimu sana hasa ukiwa town. Una familia mnatokaje mkapande daladala ukiwa hata na ka vits unakula maisha vizur watoto hawapakwi jasho na kujambiwa hovyo
 
Gari ni kama gheto mkuu, hasa uwe chuma ya kwenda .. utawafuta sanaaaa.. View attachment 2725366

chuma kamaa hii mtoto akiingia akikuta na ule utulivu wa ndani na mziki wake analowa na kulowa.. kazi inabaki moja tu

au nasema uwongo Mad Max
Hawawezi kukuelewa bro. Unakuta Athlete ina Ikeda ndani na AC ipo 18 nje kuna 32 ova tanuli.

Ukimpa lift, akifika kwao hashuki, anasema mama yuko na funguo amepitia vicoba atarudi late. Twende kwako.
 
Hawawezi kukuelewa bro. Unakuta Athlete ina Ikeda ndani na AC ipo 18 nje kuna 32 ova tanuli.

Ukimpa lift, akifika kwao hashuki, anasema mama yuko na funguo amepitia vicoba atarudi late. Twende kwako.
😅😅😅 Athelete uwe nayo kama GRS204 ... piga M3, aaah kama kusukuma mlevi kama watoto wa chuo
 
kuna nyumba ya kupanga ila hakuna gari ya kupanga. hehehe kwetu mwenye gari hata akichangia mada wazee wanaitikia, akiteleza kwenye maelezo bado watu wanaona point.
 
Back
Top Bottom