National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Jilipue ina atamu ile ya mbele.. mkiwa nadani huonekani mahala popote.. Kuna wale jamaa walikuwa mikocheni walikuwa wamechangamka ila classic.. ndani unaona nje vizuri sana wa nje hata afanyaje haoniWanje wanje.. Wa ndani wa ndani.
Umenikumbusha aisee kuweka tint kioo cha mbele. Dr Toyota alisema 100k naona parefu.
hata haka ni fresh π πHizi level tusubiri tu pale pa life begins at......
Hitaji la mwanaume ni kusimamisha zakari kwa ufasaha zaid hv vingne n si vya msingi hakuna kitu kinamuuma mwanaume kama akute siku 4 mashne haipandi mtungiUkiwa na Gari kuna mahitaji mengine hugharamiki nayo wala niniView attachment 2725310
Haka nako jua lako mvua yakohata haka ni fresh π π View attachment 2725431
hata haka π πHaka nako jua lako mvua yako
Hawa wapuuzi wanaonijua wanajua sina lolote ngoja nikanunue gariKabisa ukiwa na nyumba utaheshimika zaidi na wanaokujua, ukiwa na gari utaheshimika zaidi na wanaokuona.
Usiwawaze kabisa, nyumba ni heshima kwa familia yako yote mke na watoto wako, ila gari ni heshima yako peke yako.Hawa wapuuzi wanaonijua wanajua sina lolote ngoja nikanunue gari
Haka nako bara barahata haka π π View attachment 2725433
basi tena.. ..Haka nako bara bara
Au nitakua nalipaki kituo cha mafutabasi tena.. ..
π π π au ccm yoyote iliyo karibu naweAu nitakua nalipaki kituo cha mafuta
Ngoja nione itakavyokuaπ π π au ccm yoyote iliyo karibu nawe
Huu ni mkate wenye uso.hata haka π π View attachment 2725433
Hasa ukiwa domo zege itakurahisishia na kukupa uwezo wa kujiamini.