Gari nyingi za Toyota za sasa ikishachemsha, fikiria kununua mswaki au engine complete nyingine

Gari nyingi za Toyota za sasa ikishachemsha, fikiria kununua mswaki au engine complete nyingine

JituMirabaMinne

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2020
Posts
3,381
Reaction score
9,744
Hizi engine za kisasa za toyota ambazo zimekuja na Aluminium block ni nzuri ikiwa haijawahi pata shida ya kuchemsha.

Ila kama ikitokea ikachemsha halafu ukarekebisha bado matatizo ya kuchemsha yakaendelea, nakushauri achana kabisa na hiyo engine sababu vinginevyo hakuna rangi utaacha kuona.

NZ, ZZ, AZ, GR, na engine zingine zote za toyota zenye aluminium blocks ni za kipuuzi mno zikishaanza kuchemsha.

Yaani gari inachemsha matundu ya bolt ya block yanatanuka halafu Bolt za Cylinder head zinaruka thread kwenye Block. Baada ya hapo bolt hazifungi tena. Wajapani wanajua wenyewe walivyodesign blocks zao.

Usije kujidanganya kwamba utaenda kusurface cylinder head au kuchonga thread za Block utumie bolt nyingine. Majanga hayatoisha kwenye hiyo gari.

Mjerumani anatumia block hizo hizo za aluminium kwa sasa tena mpaka kwenye engine za diesel. Lakini zikichemsha hutokutana na hicho kinachotokea kwenye toyota.

Mjerumani alitumia akili, Block Aluminium ila sehemu za kufunga Bolt kaweka cast iron. Miaka 800 hakuna Bolt itaruka thread.

Sijajua kwa gari zingine za kijapani. Ila kwa Toyota hali ndio hiyo.
 
Hizi engine za kisasa za toyota ambazo zimekuja na Aluminium block ni nzuri ikiwa haijawahi pata shida ya kuchemsha.

Ila kama ikitokea ikachemsha halafu ukarekebisha bado matatizo ya kuchemsha yakaendelea, Nakushauri achana kabisa na hiyo engine sababu vinginevyo hakuna rangi utaacha kuona.

NZ, ZZ, AZ, GR, na engine zingine zote za toyota zenye aluminium blocks ni za kipuuzi mno zikishaanza kuchemsha.

Yaani gari inachemsha matundu ya bolt ya block yanatanuka halafu Bolt za Cylinder head zinaruka thread kwenye Block. Baada ya hapo bolt hazifungi tena. Wajapani wanajua wenyewe walivyodesign blocks zao.

Usije kujidanganya kwamba utaenda kusurface cylinder head au kuchonga thread za Block utumie bolt nyingine. Majanga hayatoisha kwenye hiyo gari.

Mjerumani anatumia block hizo hizo za aluminium kwa sasa tena mpaka kwenye engine za diesel. Lakini zikichemsha hutokutana na hicho kinachotokea kwenye toyota.

Mjerumani alitumia akili, Block Aluminium ila sehemu za kufunga Bolt kaweka cast iron. Miaka 800 hakuna Bolt itaruka thread.

Sijajua kwa gari zingine za kijapani. Ila kwa Toyota hali ndio hiyo.
Upo sahihi mkuu nitafutie mswaki wa1G vvti
 

Attachments

  • Screenshot_20230116-103020_Google.jpg
    Screenshot_20230116-103020_Google.jpg
    237.1 KB · Views: 89
[emoji848] unaendeshaje gari, temperature inapanda unaiangalia mpaka inachemsha!!!? Au ndio ukisha weka D biashara imeisha, na hapo ndio mbele kwa mbele mpaka gari izime yenyewe ndio unajua ilikua na tatizo!!? Hua nikikuta gari imechemsha nawaangaliaga wahusika jinsi walivyo kabla ya gari yenyewe
 
[emoji848] unaendeshaje gari, temperature inapanda unaiangalia mpaka inachemsha!!!? Au ndio ukisha weka D biashara imeisha, na hapo ndio mbele kwa mbele mpaka gari izime yenyewe ndio unajua ilikua na tatizo!!? Hua nikikuta gari imechemsha nawaangaliaga wahusika jinsi walivyo kabla ya gari yenyewe
Kuna Gari kuchemsha na uko porini katikati ya safari ndefu, vipi utapaki mbugani/porini usubirie mpk temperature ishuke?
 
[emoji848] unaendeshaje gari, temperature inapanda unaiangalia mpaka inachemsha!!!? Au ndio ukisha weka D biashara imeisha, na hapo ndio mbele kwa mbele mpaka gari izime yenyewe ndio unajua ilikua na tatizo!!? Hua nikikuta gari imechemsha nawaangaliaga wahusika jinsi walivyo kabla ya gari yenyewe
Ni kwel,hv vitu nikuwa macho muda wote ,ukihis tu tofaut fanya namna na sio kupotezea
 
Mfano Ikichemshia mikumi au Serengeti hifadhini utasimama?
Haaahaaa unaendelea kutengeneza worst cases. Au mbele unamuona mzee duma anatoka mate af ndinga ndo inachemsha....

Anyway kuchemsha hadi kuharibu engine beyond repair mara nyingi ni dereva kuendekeza bad practices..

Kuna engine fln 1VD ya v8 ilichemsha hadi zile plastik kwenye connector za injector pale juu zikayeyuka lkn alikuaga anaendesha rafiki yangu mlevi fln hivi so sikushangaa, yaan engine ukicheki imepoteza hadi shape kisa overheating
 
Back
Top Bottom