Gari nyingi za Toyota za sasa ikishachemsha, fikiria kununua mswaki au engine complete nyingine

Gari nyingi za Toyota za sasa ikishachemsha, fikiria kununua mswaki au engine complete nyingine

๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ Kabisa mkuu,Ile gari hata coolant Mara ya mwisho kuiwekea ilikua Ni 2014 baada ya hapo ni kitu Cha maji ya Bomba mwanzo mwisho,no overheating,no corrosion.

Jino 1 tu hata iwe safari ya wapi kitu kishaitika,so far imekua the most reliable car.Nyingine zinakuja na kupita kumuacha mnyama hapo parking ametulia tu.
Hahahahahah engine za inline six za toyota huwa sio engine za kufa kijinga.

Durability yake ni kama engine za diesel tu. Ukiiwekea oil ukabadilisha na belt kwa wakati inadunda tu.
 
Hahahahahah engine za inline six za toyota huwa sio engine za kufa kijinga.

Durability yake ni kama engine za diesel tu. Ukiiwekea oil ukabadilisha na belt kwa wakati inadunda tu.
๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ Nakubali mkuu,1G-FE,1JZ/2JZ-GE naona ziko mukide sana,hizi 1JZ/2JZ-FSE sizipendei mambo yake ya 'D4' na story zake.

Huko kwny 1JZ/2JZ-GTE sijataka kupaongelea kabisaa ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
 
๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ Nakubali mkuu,1G-FE,1JZ/2JZ-GE naona ziko mukide sana,hizi 1JZ/2JZ-FSE sizipendei mambo yake ya 'D4' na story zake.

Huko kwny 1JZ/2JZ-GTE sijataka kupaongelea kabisaa ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
FSE ni jau sema nashangaa mbona 4GR ni FSE nayo ila haisumbui watu. Au sababu haijaandikwa D4
 
Brother gari inaweza kuchemsha hata kama ina Km chache, Vitu kama fuse au relay ni vitu ambavyo vinaweza kuungua muda wowote na cooling fan ikaacha kufanya kazi....

Ukiacha habari ya gari kuchemsha kwa sababu ya cooling fan kuacha kuzunguka(hapa nazungumzia fan ya umeme), Sababu zingine zote za kuchemsha fan itakuambia kwamba gari inataka kuchemsha,

Interval za automatic fan kuzima na kuwaka zinakuwa fupifupi sana, Au fani inazunguka muda wote. Ndio maana hatushauri kuunga fan direct.

Kwa njia hii unaweza kujua gari inataka kuchemsha kabla hata gauge haijaanza kupanda ndani.

Bahati mbaya njia hii haiapply kama mtu anatembelea AC muda wote.
Hapo umenena vizuri... Siku nipo na kubakuri changu natoka Dar naenda mtukura bwana, kumbe kichuchu cha radiator cap kimechoka kina shindwa ku withstand pressure ya cooling system, matokeo yake kikawA kina ruhusu maji muda wote yanaenda kwenye reserve tank, sasa nkastuka kusikia feni inazunguka abnormally, maana hiki ki gari kama ujawasha ac feni huisikii kelele zake pindi inapuzunguka kupoza radiator for heat exchange... Sasa Nilivosikia zile noise za feni continuously, nikazima ac, mmh bado feni ipo palepale inapiga kelele, what i did ikaweka gari pembeni immediately, kufungua bonnet, nakuta maji yanamwagika kupitia reserve tank, so maana yake kama nisingekua mtu wa mtu wa ku observe vitu basi hali ingekua tete
 
FSE ni jau sema nashangaa mbona 4GR ni FSE nayo ila haisumbui watu. Au sababu haijaandikwa D4
Hahah mzee umeulizwa swali la msingi aisee, na Mimi sijasikia 4GR zikizingua.

BTW majuzi nilikutana na Crown 4gr-fse jamaa ameiwekea supercharger kit ya Arma,kitu inatoa HP 310 nikasema tu hiiiiiiiiiiiiiii.
 
Hahah mzee umeulizwa swali la msingi aisee, na Mimi sijasikia 4GR zikizingua.

BTW majuzi nilikutana na Crown 4gr-fse jamaa ameiwekea supercharger kit ya Arma,kitu unatoa HP 310 nikasema tu hiiiiiiiiiiiiiii.
๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ Oya huo unyama nani anauweka mjini ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ hio tamu sana babu. Uzuri akukatie na kamba
 
๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ Oya huo unyama nani anauweka mjini ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ hio tamu sana babu. Uzuri akukatie na kamba
๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ Ni ya mshkaji mmoja hivi anaitwa Murtaza, nilikutana nae wayback kwny Tanzania Atlantic rally Kule Chuga.
 
Kwangu mi kuna mnara tu, unawakaga blue kwenye cold start kisha baada ya dakika 3 unazima ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ sasa sijajua kama shida ikija itakuwa hauwaki au vipi?
Gari ikishachemsha itawaka taa kama hiyo nyekundu, ukidelay kuchukua hatua imeisha hiyo... hutokaa uone gauge ikipanda sababu hawajaweka gauge.

Ila kama nilivyosema mwanzo ukiijua rdiator fan ya gari yako siyo rahisi gari yako kuchemsha labda fan yenyewe ndio iwe na shida.
 
Kuna kipindi radiator ilikuwa inavujisha maji yani huku battery langu bovu nikawa siizimi gari kwa quick stops. Hio siku gari iliwasha feni mfululizo hadi feni ikaanza kubadili mlio na kulia kwa kelele sana.

Niliizima gari ikakaa baada ya kama nusu saa nikawasha nikarudi home kuipaki. Toka na hapo sikuitumia hadi nilipobadili radiator cover na kuisafisha.
Ukiwa na mpunga unatia tu Radiator yenye cap za aluminium japo bei mkasi.
 
Hahahahahah engine za inline six za toyota huwa sio engine za kufa kijinga.

Durability yake ni kama engine za diesel tu. Ukiiwekea oil ukabadilisha na belt kwa wakati inadunda tu.
Hivi toyota bado anazalisha inline 6?

BMW naona hiyo ndio identity yake.
 
๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ Mtoa mada kasema Gari zenye Aluminum Block ndio zinazingua wkt 1G-Fe Ni Cast Iron block Sasa sijui hapo umechanganya madesa au?

Nina Gari yenye hio engine 1G-FE tangu 2007 mpk leo na haijawahi kuzingua(zaidi ya Kubadilisha timing belt tu Sababu najua ikizingua kwny hio engine shughuli yake Ni mziki),ukishindwa kui-maintain 1G-Fe labda mkokoteni tu ndo unaweza kuvumilia mateso hayo.
Nitafutie mswaki jamaa acha maelezo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
1G umeifanyaje mkuu... Hii hata siyo Aluminium.
Nitafutie mswaki hii haina compression kabisa baada ya kuchemsha nshabadili c. Head mbili tatizo bado mafundi wanashauri nibadili "Piston rings" lakini naona gari haitoi moshi mweupe rings zinahusikaje? Gari ina miss isiyoisha mebadili plugs, coils na nozzles bado ipo tu. Naona niiweke pembeni nifunge nyingine
 
FSE ni jau sema nashangaa mbona 4GR ni FSE nayo ila haisumbui watu. Au sababu haijaandikwa D4

GR engines haziwezi kuwa D4 maana hizo engine siyo inline 4 japo nazo ni engine za direct injection km ilivyo hizo D4.

Toyota kwenye GR engines ambazo ni direct injection walifanya redesign...

Kwa mtu aliyefungua GR engine yoyote mfano kwenye Crown na mark X halafu akafungua na D4 za brevis au RAV 4 anaweza kunote utofauti kuanzia kwenye design ya injector nozzles.

Pia nozzle za GR ni rahisi kuchomoka ukilinganisha na D4 za JZ au AZ. Japo zote ni rahisi kukatika maana Toyota ametumia plastic za bei rahisi kwenye connectors.


Kwa kifupi tu engine nyingi za Direct injection za zamani ni pasua kichwa sababu zinatengeneza sana Carbon kwenye intake valves. Hivyo baada ya muda unaanza kukosa performance.

Hata kwenye mjerumani ni hivyo hivyo.

mfano BMW N45 na N54 hazikufanya vizuri na direct injection ila N55, B48 na B58 zinaperform poa.

Pia kwenye Audi 1st gen. na 2nd gen ya EA888 ni pasua kichwa ila 3rd gen ni Bonge moja la engine.
 
GR engines haziwezi kuwa D4 maana hizo engine siyo inline 4 japo nazo ni engine za direct injection km ilivyo hizo D4.

Toyota kwenye GR engines ambazo ni direct injection walifanya redesign...

Kwa mtu aliyefungua GR engine yoyote mfano kwenye Crown na mark X halafu akafungua na D4 za brevis au RAV 4 anaweza kunote utofauti kuanzia kwenye design ya injector nozzles.

Pia nozzle za GR ni rahisi kuchomoka ukilinganisha na D4 za JZ au AZ. Japo zote ni rahisi kukatika maana Toyota ametumia plastic za bei rahisi kwenye connectors.


Kwa kifupi tu engine nyingi za Direct injection za zamani ni pasua kichwa sababu zinatengeneza sana Carbon kwenye intake valves. Hivyo baada ya muda unaanza kukosa performance.

Hata kwenye mjerumani ni hivyo hivyo.

mfano BMW N45 na N54 hazikufanya vizuri na direct injection ila N55, B48 na B58 zinaperform poa.

Pia kwenye Audi 1st gen. na 2nd gen ya EA888 ni pasua kichwa ila 3rd gen ni Bonge moja la engine.
Kwahio D4 za kisasa sio pasua kichwa kama 3ZR ambaye ni successor wa 1AZ!
 
Back
Top Bottom