Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Kwamba ukisikia D4 unajua Ni inline 4GR engines haziwezi kuwa D4 maana hizo engine siyo inline 4 j
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba ukisikia D4 unajua Ni inline 4GR engines haziwezi kuwa D4 maana hizo engine siyo inline 4 j
Brevis na rav4 hazitumii GR engines Sasa unatakaje zifanane hata zikiwa Ni d4 zote lazima kutakuwa na utofaut sababu Ni engines mbili tofautiKwa mtu aliyefungua GR engine yoyote mfano kwenye Crown na mark X halafu akafungua na D4 za brevis au RAV 4 anaweza kunote kuanzia kwenye design ya injector nozzles.
Asilimia 90% gari ikichemsha ni uzembe wa mmiliki nakumbuka 2019 nilikuwa na Carina TI nilifanya service kubwa kabla ya safari ndefu ya mwanza niliandaa gari Kwa miezi 3 nikibadilisha baadhi ya spares kidogokidogo.[emoji848] unaendeshaje gari, temperature inapanda unaiangalia mpaka inachemsha!!!? Au ndio ukisha weka D biashara imeisha, na hapo ndio mbele kwa mbele mpaka gari izime yenyewe ndio unajua ilikua na tatizo!!? Hua nikikuta gari imechemsha nawaangaliaga wahusika jinsi walivyo kabla ya gari yenyewe
ZR engines siyo direct injection.Kwahio D4 za kisasa sio pasua kichwa kama 3ZR ambaye ni successor wa 1AZ!
Kwahio zitakuwa zinadumu sanaZR engines siyo direct injection.
Hizo zinakuwa na Dual VVTi na Valbematic tu....
1az fse kwenye rav 4, 1jz fse na 2jz fse kwenye Brevis na 4gr fse, 3gr fse na 2gr fse kwenye Crown na mark X zote ni engine za ditect injection.Brevis na rav4 hazitumii GR engines Sasa unatakaje zifanane hata zikiwa Ni d4 zote lazima kutakuwa na utofaut sababu Ni engines mbili tofauti
Nadhani maana hazina mambo mengi.Kwahio zitakuwa zinadumu sana
Sawa..umaskini ukiingia kwenye akili unajengeka inakuwa tabia.Soma uelewe naona umekurupuka,hizo unazoita fake wenzio tunadunda nazo na vitoyota vyetu...
Mkuu 212 inaendeleaje?Si muachane na huo upuuzi unaitwa TOYOTA??
Kwani Benz hamzioni??? Acheni upuuzi.
Kuna mpemba anauza 1.3m....Nitafutie mswaki jamaa acha maelezo 😂😂😂
Unabadilika rangi na kuwa mwekundu na alarm juu.Kwangu mi kuna mnara tu, unawakaga blue kwenye cold start kisha baada ya dakika 3 unazima 😀😀😀 sasa sijajua kama shida ikija itakuwa hauwaki au vipi?
FSE ni jau sema nashangaa mbona 4GR ni FSE nayo ila haisumbui watu. Au sababu haijaandikwa D4
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Basi nausubiri maana napiga patrol kila wakati kwenye bonnet la gari.Unabadilika rangi na kuwa mwekundu na alarm juu.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hii ngumu kumeza
AiseeGR engines haziwezi kuwa D4 maana hizo engine siyo inline 4 japo nazo ni engine za direct injection km ilivyo hizo D4.
Toyota kwenye GR engines ambazo ni direct injection walifanya redesign...
Kwa mtu aliyefungua GR engine yoyote mfano kwenye Crown na mark X halafu akafungua na D4 za brevis au RAV 4 anaweza kunote utofauti kuanzia kwenye design ya injector nozzles.
Pia nozzle za GR ni rahisi kuchomoka ukilinganisha na D4 za JZ au AZ. Japo zote ni rahisi kukatika maana Toyota ametumia plastic za bei rahisi kwenye connectors.
Kwa kifupi tu engine nyingi za Direct injection za zamani ni pasua kichwa sababu zinatengeneza sana Carbon kwenye intake valves. Hivyo baada ya muda unaanza kukosa performance.
Hata kwenye mjerumani ni hivyo hivyo.
mfano BMW N45 na N54 hazikufanya vizuri na direct injection ila N55, B48 na B58 zinaperform poa.
Pia kwenye Audi 1st gen. na 2nd gen ya EA888 ni pasua kichwa ila 3rd gen ni Bonge moja la engine.