HUNIJUI SIKUJUI
JF-Expert Member
- Apr 4, 2015
- 1,335
- 1,554
ulaji wake sawa na fuso 17Soma Specs hapo, ina engine ya V8, Engine Capacity 4000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ulaji wake sawa na fuso 17Soma Specs hapo, ina engine ya V8, Engine Capacity 4000
yap yap cc buku tu inatoshaKamata Ducati mjomba.
Hata hizo toyota zao bado zinawatoa jasho kuzimiliki.Alafu jamaa hata hawajiulizi kwanini rav 4 inayouzwa UK tofauti na bongo?
Tukubali tukatae sisi uwezo wa kumiliki Germany machine hatuna, tusitafute visingizio eti spares, mafuta dunia kijiji.
Kachukue basi Brevis au Crown basi uzifanye Taxi hapa bongo.Hizi tunazoita luxuryars (Benz E-Class) hapo Cairo,Germany,Greece ,Amsterdam ni taxi hizo.
Huku S-class/7-series hapo munich nazo zikiwa ni taxi tu kama kawa.
Hata hizo toyota zao bado zinawatoa jasho kuzimiliki.
Unakuta gari namba D imechakaa kama bibi wa miaka 100.
Wakati mjerumani namba A yupo fresh.
YeeesTunaweza funga huu mjadala wa TOYOTA, Tukaleta LEXUS vx German machine 😀 😀 😀 😀 😀
Sio kwa BMW chief ,,Hiyo ni kashfa.
Wazungu hawawezi kukubali wajichafue kwa uzembe wa aina hiyo.
Emission standard case ya VW wamelipa fidia mabilioni ya kutosha.
Taasisi za viwango za US na Europe wakute unatengeneza spare za kuharibika baada ya miaka mitatu kabla hawajakufutia leseni.
Hizo kampuni zina reputation zao, haziji bahati mbaya.
Crown,Brevis hizo ni takataka hazifai kabisa.S-class,7-Series,E-class hizo ndio zinafaa kua taxi.Kachukue basi Brevis au Crown basi uzifanye Taxi hapa bongo.
Usisahau hata mbele wana Uber za Choppa.
Nyie ndo mnaitwa wanyonge na jpm mnatembea kifua mbele.Mkuu wewe unaonekana una ugomvi na watu wasio na pesa. Hakuna mtu anaependa hali kama hiyo. Ila hali ya kipesa za watu. Acha dharau basi , shukuru una hiyo gari yako ya mjapan. [emoji3][emoji3][emoji3]. Kuna watu humu wana gari very expensive kuliko yako na huwezi kuta wanadharau [emoji3][emoji3][emoji3]
Mbona hilo najua.Mkuu wewe unaonekana una ugomvi na watu wasio na pesa. Hakuna mtu anaependa hali kama hiyo. Ila hali ya kipesa za watu. Acha dharau basi , shukuru una hiyo gari yako ya mjapan. [emoji3][emoji3][emoji3]. Kuna watu humu wana gari very expensive kuliko yako na huwezi kuta wanadharau [emoji3][emoji3][emoji3]
Si taste na preference za wanunuzi?
Basi sawaSi taste na preference za wanunuzi?
Midude hiyo watu hawaitaki [emoji16][emoji16][emoji16]
Hayo ukitaka uyauze unamtafuta Mjerumani wa JF anawakusanya wakulungwa unapiga hela yako faster 😀😀😀😀😀😀Midude hiyo watu hawaitaki [emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 1697096
Utajibiwa ni mambo ya tastes and preferences za wanunuzi mkuu.Midude hiyo watu hawaitaki [emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 1697096
😀😀😀😀 JPM na hapa wapi na wapi. Ebu muache Baba wa watu atimize majukumu yake ya kitaifa. Na hakuna mtu anae penda umaskini au kuulea umaskini. Huwezi jua mioyo ya watu na hustle za watu mkuu.. shukuru unacho na shukuru una akili ya kupambana..Nyie ndo mnaitwa wanyonge na jpm mnatembea kifua mbele.
Binafsi sipendi umasikini. Na sitaki kuridhika na umasikini kama ninao. Sipendi kumiliki vitu vibayabaya.
Napenda vitu vizuri, kuna wakati inabidi uutishe umasikini. Napenda kuvaa vitu vizuri, kumiliki mambo mazuri, kuishi sehemu nzuri na bora.
Napenda kuwa 'unique'. Sipendi nimiliki kitu halafu nione kila mtu anacho.
Nazungumzia wingi mkuu.. unaeza hisi katika fikra zako, 😀😀😀😀😀Mbona hilo najua.
Kuna jipya unaweza sema ambalo silijui.
Nyie ndo wale watanzania wakiambiwa ukweli wanakimbilia kusema mnadharauliwa.
Waganga wote wa Ulaya wameshindwa [emoji16][emoji16]Hahahah umeme huo umo Nissan uchawi aliotumiaga mpaka sasa haujulikani [emoji16]
Kawaida sana sana na ni Salon sio Station Wagonulaji wake sawa na fuso 17