Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
Kwahiyo ameshauri tununue Brevis?Angali hii video jamaa anachambua kwanini usinunue used bmw,jamaa ni owner wa various Bima,Bima enthuathist,pia ni seller na mchambuzi wa magari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo ameshauri tununue Brevis?Angali hii video jamaa anachambua kwanini usinunue used bmw,jamaa ni owner wa various Bima,Bima enthuathist,pia ni seller na mchambuzi wa magari.
Kwa standard za kumiliki gari.Unaharibu wacha wajazane, tumletee Jerry's spare vichwa 😀 😀 😀 😀
Kwa nini haziuzi kama TOYOTA?Kwa standard za kumiliki gari.
Kifaa kikiwa kibovu kinatakiwa kutolewa kiwekwe kipya.
Hata hizo toyota ukipeleka kwa dealer anachomoa kifaa anaweka kipya.
Ila hizo garage za maporini ndo mnafunga kwa mpira au kuchomelea.
Watu hawaelewi[emoji23], BMWs na Benz kwenye engine bay kuna parts zimekua designed to fail baada ya muda fulani hata kama unalitunza vipi. Zikianza fail ni moja baada ya nyingine mpaka gari inashinda garage kuliko home, bado matatizo ya umeme kwa kuwa na sensor nyingi kuliko maelezo . Ulaya, USA,South Afrika gari ikiisha warrant tu anaicha na kuchukua nyingine au anahamia Toyota, Kia, Hyundai. Mtanzania ana nunua ugonjwa wa moyo na wallet BMW, Benz ya miaka 15 kweli.Unaharibu wacha wajazane, tumletee Jerry's spare vichwa 😀 😀 😀 😀
😀😀😀😀 sasa hapo hujaelewa nini mkuu ? Unazo ita sub standard ni kwa soko la watu wenye uchumi wa chini. Wameletewa kutokana na hali yao ya kiuchumi. Usiige kunya kwa temboSub standard cars.
Gari za Toyota zinazoenda UK na US ni bora kuliko mnazozisifia zenu huku.
US, UK huwezi kuta hizo crown, brevis zenu.
Gari ikifika 150kph kinaanza kuswing, moyo unaanza kwenda mbio.
Toyota zote ambazo huzikuti kwenye website ya kampuni.Boring cars ni aina gani hizo mkuu ?
Website za magari ni show room.Amazon na website kama ya Toyota hazilingani ki maudhui. Usitake fananisha hivyo vitu kwa wataalamu wa techonology za web na design watakucheka [emoji3][emoji846][emoji3][emoji846]
Poa basi ngoja nichakate nichukue Nissan GTR Nismo.. ili na sie wajapan utuone wa maana 😀😀😀Toyota zote ambazo huzikuti kwenye website ya kampuni.
Manake hata hawaumizi kichwa kuzitengeneza.
Gari ya kueleweka lazima RnD ya maana itumike. Miaka ya kutosha ya kutengeneza gari na kuijaribu.
Hata ukiiangalia unajisemea kabisa hii gari kweli imetengenezwa kama ile Nissan GTR Nismo. Pale mjapani amefanya kazi na ikaonekana.
Basi utulie sasa sio kujazana ujinga.Mkuu mie sina gari zote tajwa hapo juu.. mie ni fundi garage tu [emoji3][emoji3][emoji3] tena nyoka nafundishwa kazi
Toyota wanatengeneza models tofauti kwa masoko tofauti ndio maana kuna salon zipo Japan lakini haziko UK wala USA,pia kuna trucks zipo USA lakini haziko nchi nyingine. Hii sio kwa Toyota hata car makers wengine pia wanafanya kama Toyota.Sub standard cars.
Gari za Toyota zinazoenda UK na US ni bora kuliko mnazozisifia zenu huku.
US, UK huwezi kuta hizo crown, brevis zenu.
Gari ikifika 150kph kinaanza kuswing, moyo unaanza kwenda mbio.
Gari za kishamba ndo zipi hizo..za kampuni ya nyumbuMtanzania anahitaji gari moja yenye sifa zifuatazo.
1-isiwe inakula mafuta, ikiwa inakula mafuta utasikia (jini hilo).
2-Gari ambayo ikiharibika vipuri vipatikane kwa bei nafuu.
3-Gari ambayo ina acceleartion kubwa na top speed kubwa mfano 220km/hr....300km/hr
4-Muonekano mzuri na imara.
5-Yenye gharama nafuu katika utengenezaji.
6-Iwe na uwezo wa kupita off-road.
7-Isiwe old model.
8-isiwe na mifumo na sensors nyingi za umeme (mfano bmw).
Na kinachonimaliza kabisa...
9-Iwe na bei nafuu.
Utabaki kuendesha ist na vitz mpaka unazeeka..
Ushauri kwa waTanzania wenzangu, tutabaki kuwapigia makofi na kuwasifia wanaume wenzetu wanaomiliki range rover na discovery,bmw x6,v8, benz n.k...
Huwezi hata siku moja kupata gari yenye hizo sifa zote thats why bara bara zimejaa ist, wish, crown, harrier n.k
Kumbuka unapokwenda kununua gari fahamu gari haitumii mtori wala uji, gari inatumia mafuta, brevis tu zimewashinda kila siku mnapiga kelele, mtamiliki gari gani nzuri yenye kasi, luxury, comforatable na speed kama mnakimbia majukumu?
Badilikeni ndugu zangu, acheni maisha ya kukariri, kwa East Africa naona sisi ndio tunamiliki gari za kishamba kuliko wote.
![]()
![]()
![]()
😀😀😀😀😀 ati taka taka.. kaangalia Toyota Century kama ipo ? Kwenye swala ku manage content za website kila company ina policy zake.Website za magari ni show room.
Huwezi ficha gari uani usiiweke showroom.
Hawaziweki kwasababu hata wenyewe wanajua wametengeneza takataka ndo maana wanaona aibu kuziweka huko.
Hakuna website inashindwa uweka models zote mzee.
😀😀😀😀.. ila radha ya gari nazionja ndio maana nakuambia Toyota ni chuma cha mjapan kisicho na wengeBasi utulie sasa sio kujazana ujinga.
Mjerumani, Muingereza, Mtaliano wanaumba magari. Wajapani wanatengeneza magari.
Kasoro German company BMW/ AUDI/ BENZ hawana diversity kulingana na geographical needs. Ukinunua BMW ya German ndio hiyo tunalazimisha kwenye hizi hizi bara bara zetu za Ubungo external. Gari mpaka inaisha haijawahi gonga 260km/ h kwenye dashboardToyota wanatengeneza models tofauti kwa masoko tofauti ndio maana kuna salon zipo Japan lakini haziko UK wala USA,pia kuna trucks zipo USA lakini haziko nchi nyingine. Hii sio kwa Toyota hata car makers wengine pia wanafanya kama Toyota.
Safi sana.Unaweza pata history ya gari moja moja hapa 75 Years of TOYOTA | TOYOTA MOTOR CORPORATION GLOBAL WEBSITE | Vehicle Lineage | In-depth Vehicle Information, Specification
cc buku 4 iyo ni fuso kaka 🤣 🤣 🤣 , yaani itakua sawasawa na mtu anaendesha fuso bila mzigoMtu anaogopa kumiliki Nissan Fuga au Nissan Majesta sijui lenye CC buku nne na engine ya v6
Tacoma, Tundra, Sequoia, Avalon n.k ni brand za mbele.Tuletee ma Bentley Mkuu, kizuri umekubali TOYOTA ana gari standard za kupambana na BMW/ AUDI
Nini hakiuzi kama toyota?Kwa nini haziuzi kama TOYOTA?
Marketing strategy ya TOYOTA hiyo ili mradi cash flow isome, Wamarekani wakija kwetu wanashangaa kuona Hilux Revo kwao hazipooo 😀 😀 😀Tacoma, Tundra, Sequoia, Avalon n.k ni brand za mbele.
Gari imetulia imetenengenezwa unaona kabisa watu wamekaa wakatengeneza gari.
Njoo na hivyo vi passo vyenu.
Germany machine sasa ananunua nani?Nini hakiuzi kama toyota?