Gari wanazohitaji waTanzania hazipatikani dunia nzima

Tunaenda na uchumi wa kati ulivyo, we ni Mtanzania wa wapi na hatuna uraia pacha
 
Miaka mingi humu Jf nimeshuhudia mijadala yenye kuiponda Toyota na hali hiyo ikapelekea ionekane magari ya Ulaya ndiyo bora.
Kwa mara ya kwanza leo hii Wajerumani wa Jf nashuhudia wakiachwa uchi tena kwa fact za kisomi kabisa. [emoji16][emoji16]
 
Volvo ni mswidi mzeeiya! Halafu Volvo haina hayo makitu.
 
Sasa inakuaje hata huko US ambako kuna matajiri kwny top 15 ya gari zinaouza kwa sana Bmw,Benz,VW ndio za mwisho kwa kuuza gari chache huku Toyota ikiwa ni ya 2 kwa kuuza gari nyingi?

Au wamarekani nao hawana uwezo wa kumiliki hizo Germany machines?
Americans like them big! Mzungu kashindwa kubadilika; mjapani kaweza kucheza na akili za wamarekani kwa kutengeneza Japanese models ambazo ni kubwa kuliko kawaida. European makes sizes ni zile zile kama za kwao Ulaya. Hii ni moja ya sababu
 
Americans like them big! Mzungu kashindwa kubadilika; mjapani kaweza kucheza na akili za wamarekani kwa kutengeneza Japanese models ambazo ni kubwa kuliko kawaida. European makes sizes ni zile zile kama za kwao Ulaya. Hii ni moja ya sababu
Nakubali mkuu,jamaa wamecheza na soko ipasavyo.
 
Waambie TRA watuache tuyanunue waweke kodi zao kwenye mafuta tu uone jinsi ambavyo vitu vingeshuka hapa hadi barabar ziongezwe upana kupunguza foleni.
Hao hao washamba wanataka kuleta hadi treni zinazotumia barabara ila wanaogopa TRA na kuambiwa ati "Wanaosha pesa" na "Kuzipiga pasi".
Serekali iweke kodi kwenye mafuta uone jinsi watu watashusha vitu hap bongo.
 
TRA Wana msemo wao wanakuambia gari chakavu zenye zaidi ya miaka 10 Kodi yake ni kubwa kuliko gari mpya.
Sasa wewe jichanganye fatisha maneno yao ununue gari iliyotengenezwa mwaka 2019 utalia na Mungu wako
 
TRA Wana msemo wao wanakuambia gari chakavu zenye zaidi ya miaka 10 Kodi yake ni kubwa kuliko gari mpya.
Sasa wewe jichanganye fatisha maneno yao ununue gari iliyotengenezwa mwaka 2019 utalia na Mungu wako
Hawa ndio wanatunyima kununua mkoko wa kileo. Wanaikosesha serekali yetu kodi sana. Kama magari ni mengi na huwa yanakula mafuta sasa hapo wakiongeza kodi ya mafuta si wangepata zaidi??
 
Hawa ndio wanatunyima kununua mkoko wa kileo. Wanaikosesha serekali yetu kodi sana. Kama magari ni mengi na huwa yanakula mafuta sasa hapo wakiongeza kodi ya mafuta si wangepata zaidi??
Wanachukulia magari ni anasa viongozi wetu wenyewe ni kizazi cha mwaka 1950 ambacho waliambiwa Tv ni anasa ,unadhani watakuelewa kwenye magari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…