Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Watu wana dhalau eti ni Baby walker [emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wajerumani wa Jf wana dharau sana. Wao kumiliki Ferrari Porsche imekuwa nongwa kwa wajapan [emoji3][emoji3]
Hizo gari hauzioni kwa sababu wameacha kuzalisha, huku zipo kwa sababu tunanua chakavu. Yaani tunanunua magari chakavu.Utofauti wa TOYOTA na VW reliability. Zaidi TOYOTA amekwenda mbali kwa kuangalia uchumi wa wateja wake ndio maana ana variety nyingi zaidi sokoni kuliko VW na pia upatikanaji wa spare zake ni cheap hata kwa watu wa chini.. Asilimia kubwa ya magari tulio nayo TZ hata kwenye official website ya Toyota Global hayapo hata ukienda search engine kusearch huyakuti. Harrier tu tunayoiona ni gari kwetu kwenye website ya TOYOTA haipo na haijulikani. Na inawezekana hata waliotoa hizo statistics kati ya TOYOTA na VW wamehusisha TOYOTA official cars achana na hao akina VITZ, IST, OPA, IPSUM, BREVISView attachment 1696897
Wajapan&Wajerumani wakija bongo inaonekana hua wanashangaa saaana magari wanayoyakuta barabarani,magari yanayofaa kuyeyushiwa vyuma huku yanaitwa New model.Hizo gari hauzioni kwa sababu wameacha kuzalisha, huku zipo kwa sababu tunanua chakavu. Yaani tunanunua magari chakavu.
Nikitoa iyo ela ni moja kwa moja barabarani ama....Ona myana kama huyu [emoji3][emoji3][emoji3].. alafu unakuja mzarau mjep.. kitu kinatoa horse power zaidi ya 400+
View attachment 1696465
Hahaha! Yaani gari ya 2007 inaitwa new model. Bongo patam sana.Wajapan&Wajerumani wakija bongo inaonekana hua wanashangaa saaana magari wanayoyakuta barabarani,magari yanayofaa kuyeyushiwa vyuma huku yanaitwa New model.
Inabaki TRA , Bima na wese πππNikitoa iyo ela ni moja kwa moja barabarani ama....
Wajerumani watakuja wakwambie hii ni takataka tu haifui dafu hata kwa golf gti,πππKumekuchaaaa, Mjerumani Jerry's Spare katoa appreciation kwa Mjapan π π π
View attachment 1699383
Hayo ni mawazo yake hapingwi, hata mtu akisifi tdi 109 yupo sawa.Wajerumani watakuja wakwambie hii ni takataka tu haifui dafu hata kwa golf gti,[emoji2][emoji2][emoji2]
Subiri hapohapo wanakuja mzee.
Wanayoyaagiza hayo ma German mashine wanayaendeshea nchi gani?Hayo ni mawazo yake hapingwi, hata mtu akisifi tdi 109 yupo sawa.
Hivi mtu una pesa zako za kutosha ushindwe kuagiza Germany/UK mashines uagize mjapani? Aaah wapi
Hizo Germany/UK machines unazosemea ndio kama zipi?Hayo ni mawazo yake hapingwi, hata mtu akisifi tdi 109 yupo sawa.
Hivi mtu una pesa zako za kutosha ushindwe kuagiza Germany/UK mashines uagize mjapani? Aaah wapi
Kwaiyo unataka kutuambia Crown ni sawa na Ist?!!!Mtanzania anahitaji gari moja yenye sifa zifuatazo.
1-isiwe inakula mafuta, ikiwa inakula mafuta utasikia (jini hilo).
2-Gari ambayo ikiharibika vipuri vipatikane kwa bei nafuu.
3-Gari ambayo ina acceleartion kubwa na top speed kubwa mfano 220km/hr....300km/hr
4-Muonekano mzuri na imara.
5-Yenye gharama nafuu katika utengenezaji.
6-Iwe na uwezo wa kupita off-road.
7-Isiwe old model.
8-isiwe na mifumo na sensors nyingi za umeme (mfano bmw).
Na kinachonimaliza kabisa...
9-Iwe na bei nafuu.
Utabaki kuendesha ist na vitz mpaka unazeeka..
Ushauri kwa waTanzania wenzangu, tutabaki kuwapigia makofi na kuwasifia wanaume wenzetu wanaomiliki range rover na discovery,bmw x6,v8, benz n.k...
Huwezi hata siku moja kupata gari yenye hizo sifa zote thats why bara bara zimejaa ist, wish, crown, harrier n.k
Kumbuka unapokwenda kununua gari fahamu gari haitumii mtori wala uji, gari inatumia mafuta, brevis tu zimewashinda kila siku mnapiga kelele, mtamiliki gari gani nzuri yenye kasi, luxury, comforatable na speed kama mnakimbia majukumu?
Badilikeni ndugu zangu, acheni maisha ya kukariri, kwa East Africa naona sisi ndio tunamiliki gari za kishamba kuliko wote.
Kipi kilichokushangaza mkuu. Naanza kuamini kuna ka ulimbukeni mnacho, Sasa unashangaa mtu kuisifia gari kama hiyo?Kumekuchaaaa, Mjerumani Jerry's Spare katoa appreciation kwa Mjapan π π π
View attachment 1699383
Mtakubali tu, hata kama mnazibezaNismo ni big middle finger mjapani amewaonesha wazungu.
Pale mjapan alikaa kasema na tuumbe gari. Ile gari imeumbwa ikaumbika.
Jerry's ni mdau mkubwa sana wa European cars (self profiled), Kukubali gari za Toyota ni ujumbe kwa wajerumani hasaa wa humu JF kuwa TOYOTA wanatengeneza gari zenye ubora. Kuhusu kumfuatilia ndio tunamfuatilia sana tu na tupo wengi kweli 44.1k followers, ndio maana karuhusu followers hapo instagram ili afuatiliwe.Kipi kilichokushangaza mkuu. Naanza kuamini kuna ka ulimbukeni mnacho, Sasa unashangaa mtu kuisifia gari kama hiyo?
Nimekundua kuwa huyu Jelly mmemuweka kwenye profile kubwa sana. Kila muda mnachungulia anachofanya na bahati mbaya amuishi kumponda humu.
Crown za bongo za mwaka 2004,2005. 2006 π ni chombo cha usafiri mkuu kama ilivyo ist.Kwaiyo unataka kutuambia Crown ni sawa na Ist?!!!
Nasis tunao tumia subaru unatuweka wapi?Mtanzania anahitaji gari moja yenye sifa zifuatazo.
1-isiwe inakula mafuta, ikiwa inakula mafuta utasikia (jini hilo).
2-Gari ambayo ikiharibika vipuri vipatikane kwa bei nafuu.
3-Gari ambayo ina acceleartion kubwa na top speed kubwa mfano 220km/hr....300km/hr
4-Muonekano mzuri na imara.
5-Yenye gharama nafuu katika utengenezaji.
6-Iwe na uwezo wa kupita off-road.
7-Isiwe old model.
8-isiwe na mifumo na sensors nyingi za umeme (mfano bmw).
Na kinachonimaliza kabisa...
9-Iwe na bei nafuu.
Utabaki kuendesha ist na vitz mpaka unazeeka..
Ushauri kwa waTanzania wenzangu, tutabaki kuwapigia makofi na kuwasifia wanaume wenzetu wanaomiliki range rover na discovery,bmw x6,v8, benz n.k...
Huwezi hata siku moja kupata gari yenye hizo sifa zote thats why bara bara zimejaa ist, wish, crown, harrier n.k
Kumbuka unapokwenda kununua gari fahamu gari haitumii mtori wala uji, gari inatumia mafuta, brevis tu zimewashinda kila siku mnapiga kelele, mtamiliki gari gani nzuri yenye kasi, luxury, comforatable na speed kama mnakimbia majukumu?
Badilikeni ndugu zangu, acheni maisha ya kukariri, kwa East Africa naona sisi ndio tunamiliki gari za kishamba kuliko wote.
Nimekwambia vidude vya toyotaMtakubali tu, hata kama mnazibeza