Gari wanazohitaji waTanzania hazipatikani dunia nzima

Gari wanazohitaji waTanzania hazipatikani dunia nzima

Utofauti wa TOYOTA na VW reliability. Zaidi TOYOTA amekwenda mbali kwa kuangalia uchumi wa wateja wake ndio maana ana variety nyingi zaidi sokoni kuliko VW na pia upatikanaji wa spare zake ni cheap hata kwa watu wa chini.. Asilimia kubwa ya magari tulio nayo TZ hata kwenye official website ya Toyota Global hayapo hata ukienda search engine kusearch huyakuti. Harrier tu tunayoiona ni gari kwetu kwenye website ya TOYOTA haipo na haijulikani. Na inawezekana hata waliotoa hizo statistics kati ya TOYOTA na VW wamehusisha TOYOTA official cars achana na hao akina VITZ, IST, OPA, IPSUM, BREVISView attachment 1696897
Hizo gari hauzioni kwa sababu wameacha kuzalisha, huku zipo kwa sababu tunanua chakavu. Yaani tunanunua magari chakavu.
 
Kumekuchaaaa, Mjerumani Jerry's Spare katoa appreciation kwa Mjapan 😀 😀 😀
1612975304576.png
 
Wajerumani watakuja wakwambie hii ni takataka tu haifui dafu hata kwa golf gti,[emoji2][emoji2][emoji2]

Subiri hapohapo wanakuja mzee.
Hayo ni mawazo yake hapingwi, hata mtu akisifi tdi 109 yupo sawa.
Hivi mtu una pesa zako za kutosha ushindwe kuagiza Germany/UK mashines uagize mjapani? Aaah wapi
 
Hayo ni mawazo yake hapingwi, hata mtu akisifi tdi 109 yupo sawa.
Hivi mtu una pesa zako za kutosha ushindwe kuagiza Germany/UK mashines uagize mjapani? Aaah wapi
Hizo Germany/UK machines unazosemea ndio kama zipi?
 
Mtanzania anahitaji gari moja yenye sifa zifuatazo.

1-isiwe inakula mafuta, ikiwa inakula mafuta utasikia (jini hilo).
2-Gari ambayo ikiharibika vipuri vipatikane kwa bei nafuu.
3-Gari ambayo ina acceleartion kubwa na top speed kubwa mfano 220km/hr....300km/hr
4-Muonekano mzuri na imara.
5-Yenye gharama nafuu katika utengenezaji.
6-Iwe na uwezo wa kupita off-road.
7-Isiwe old model.
8-isiwe na mifumo na sensors nyingi za umeme (mfano bmw).

Na kinachonimaliza kabisa...

9-Iwe na bei nafuu.

Utabaki kuendesha ist na vitz mpaka unazeeka..

Ushauri kwa waTanzania wenzangu, tutabaki kuwapigia makofi na kuwasifia wanaume wenzetu wanaomiliki range rover na discovery,bmw x6,v8, benz n.k...
Huwezi hata siku moja kupata gari yenye hizo sifa zote thats why bara bara zimejaa ist, wish, crown, harrier n.k

Kumbuka unapokwenda kununua gari fahamu gari haitumii mtori wala uji, gari inatumia mafuta, brevis tu zimewashinda kila siku mnapiga kelele, mtamiliki gari gani nzuri yenye kasi, luxury, comforatable na speed kama mnakimbia majukumu?

Badilikeni ndugu zangu, acheni maisha ya kukariri, kwa East Africa naona sisi ndio tunamiliki gari za kishamba kuliko wote.




1200px-2018_BMW_X6_xDrive30d_M_Sport_Automatic_3.0_Front.jpg


2021-Tundra-1-copy.jpg


USC90JES052F021001.jpg
Kwaiyo unataka kutuambia Crown ni sawa na Ist?!!!
 
Kumekuchaaaa, Mjerumani Jerry's Spare katoa appreciation kwa Mjapan 😀 😀 😀
View attachment 1699383
Kipi kilichokushangaza mkuu. Naanza kuamini kuna ka ulimbukeni mnacho, Sasa unashangaa mtu kuisifia gari kama hiyo?

Nimekundua kuwa huyu Jelly mmemuweka kwenye profile kubwa sana. Kila muda mnachungulia anachofanya na bahati mbaya amuishi kumponda humu.
 
Kipi kilichokushangaza mkuu. Naanza kuamini kuna ka ulimbukeni mnacho, Sasa unashangaa mtu kuisifia gari kama hiyo?

Nimekundua kuwa huyu Jelly mmemuweka kwenye profile kubwa sana. Kila muda mnachungulia anachofanya na bahati mbaya amuishi kumponda humu.
Jerry's ni mdau mkubwa sana wa European cars (self profiled), Kukubali gari za Toyota ni ujumbe kwa wajerumani hasaa wa humu JF kuwa TOYOTA wanatengeneza gari zenye ubora. Kuhusu kumfuatilia ndio tunamfuatilia sana tu na tupo wengi kweli 44.1k followers, ndio maana karuhusu followers hapo instagram ili afuatiliwe.

Limbukeni ni wewe usiejua nini maana ya followers....Tafuta post yangu yoyote niliyomponda Jerry's weka hapa. Magufuli mwenyewe wanamponda itakuwa Jerry's ?????? Kwendraaaaaaaaaaaaaa hukooooooooooooooooooo
 
Mtanzania anahitaji gari moja yenye sifa zifuatazo.

1-isiwe inakula mafuta, ikiwa inakula mafuta utasikia (jini hilo).
2-Gari ambayo ikiharibika vipuri vipatikane kwa bei nafuu.
3-Gari ambayo ina acceleartion kubwa na top speed kubwa mfano 220km/hr....300km/hr
4-Muonekano mzuri na imara.
5-Yenye gharama nafuu katika utengenezaji.
6-Iwe na uwezo wa kupita off-road.
7-Isiwe old model.
8-isiwe na mifumo na sensors nyingi za umeme (mfano bmw).

Na kinachonimaliza kabisa...

9-Iwe na bei nafuu.

Utabaki kuendesha ist na vitz mpaka unazeeka..

Ushauri kwa waTanzania wenzangu, tutabaki kuwapigia makofi na kuwasifia wanaume wenzetu wanaomiliki range rover na discovery,bmw x6,v8, benz n.k...
Huwezi hata siku moja kupata gari yenye hizo sifa zote thats why bara bara zimejaa ist, wish, crown, harrier n.k

Kumbuka unapokwenda kununua gari fahamu gari haitumii mtori wala uji, gari inatumia mafuta, brevis tu zimewashinda kila siku mnapiga kelele, mtamiliki gari gani nzuri yenye kasi, luxury, comforatable na speed kama mnakimbia majukumu?

Badilikeni ndugu zangu, acheni maisha ya kukariri, kwa East Africa naona sisi ndio tunamiliki gari za kishamba kuliko wote.




1200px-2018_BMW_X6_xDrive30d_M_Sport_Automatic_3.0_Front.jpg


2021-Tundra-1-copy.jpg


USC90JES052F021001.jpg
Nasis tunao tumia subaru unatuweka wapi?

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom