Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Narudia tena dunia nzima Toyota used ni expensive kuliko Bmw/Benz etc za same specs/year,wewe kama unaongelea Toyota za scrapyard(kama ulivyosema mwenyewe) za huko SA then endelea nazo.
Mfanyabiashara huyo hawezi kukuelewaView attachment 1701862View attachment 1701865
Torque vs HP kwahiyo hapo Toyota amemzidi benz sio?
Benz ni ya 2017 na crown ni 2019.
Toyota bado Sana kwa German
Athlete ina suspension ngumu, mashimo unayasikia, naona ni kwa sababu ni sport na inachanganya haraka(acceleration).Royalsaloom, Athlete au Majesta ?
Unalinganisha Rolls royce au Bentley na Toyota?
Achana na hawa vijana.View attachment 1701862View attachment 1701865
Torque vs HP kwahiyo hapo Toyota amemzidi benz sio?
Benz ni ya 2017 na crown ni 2019.
Toyota bado Sana kwa German
Kwa hio Toyota used huko UK,US ni cheap kulinganisha na other brands?
Dunia nzima depreciation za bmw,mercedes,audi,porsche etc ni kubwa sana kulinganisha na Toyota/honda,so used japanese cars ni expensive kulinganisha na other brands kwny gari zilizoko kwny same categories.
Nasisitiza tena hata UK,USA toyota used ni expensive kuliko hizo used za Germany.
Likija swala la design.
Ukihitaji rolls royce hata kama nchi yako haina dealers watakusafirishia mpaka ulipo, pia ukihitaji service kuna technicians watakuja mpaka ulipo.
Japan ubunifu zero hamna kitu,nikipata hela nataka niachane kabisa na Carina ti ninunue bmw x3Likija swala la design.
Japan ni sifuri.
Sasa hiyo net inafanya nini kwenye hiyo crown?
Mtu anashindanisha S-class vs Crown hybrid?[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] unajua hata unacho kishindanisha aiseee.View attachment 1701862View attachment 1701865
Torque vs HP kwahiyo hapo Toyota amemzidi benz sio?
Benz ni ya 2017 na crown ni 2019.
Toyota bado Sana kwa German
[emoji2][emoji2][emoji2] jamaa unavyobishana utadhani unaendesha G-wagon kumbe unaendesha harrier tena ya kupewa na shangazi kwa bei nafuu(umesema mwenyewe hii),[emoji2][emoji2][emoji2] kua mjuaji huku mfukoni bila bila ni raha sana aisee.Achana na hawa vijana.
Wanajazana ujinga vijiwe vya pombe leo wanakurupuka toyota is more expensive kuliko bmw.
Gari ina airbag 2 unailinganisha na gari yenye airbag 6 na kuendelea.
Sasa wewe unayesema 'eti Supra ni sport car afu Aristo ni gari ya kawaida' wkt zote hizo ni 2jz-gte utakua unajua nini sasa cha kubishana?Unalinganisha Rolls royce au Bentley na Toyota?
Hata Benz, Audi na BMW hazikaribii hizo levels.
Unavuta mbolea wewe.
No wonder mnalinganisha Toyota Aristo na Porsche 911 Turbo S.
Vijana tafuteni maarifa la sivyo mtakuja kuumbuka mbele ya wanaume.View attachment 1701902wanazi wenzangu wa Toyota nawapa home work mnitafutie gari used iwe toyota, Lexus au Nissan inayozidi hiyo bei ya Mercedes Benz.
Ifikie hatua tuwe tunaheshimu wakubwa zetu
Yaani unavyoongelea hio GT-R Inaonekana hujawahi kabisa kusikia kuna lexus LFA,honda NSX zinazoichapa GT-R vizuri tuView attachment 1701896View attachment 1701897mimi mwenyewe natumia Carina ti ila tuache unazi Toyota/Lexus bado Sana kwa Germany machine.
Labda Nissan gtr kidogo ndio inasumbua ,tena inasumbua kwa mbio tu
Umelinganisha ki ushabiki 😀😀
Umesoma na kuelewa kicho andikwa ? Hapo hakuna comparison yoyote ileUnalinganisha Rolls royce au Bentley na Toyota?
Hata Benz, Audi na BMW hazikaribii hizo levels.
Unavuta mbolea wewe.
No wonder mnalinganisha Toyota Aristo na Porsche 911 Turbo S.
Zipo hadi zenye airbag 8 toyotaAchana na hawa vijana.
Wanajazana ujinga vijiwe vya pombe leo wanakurupuka toyota is more expensive kuliko bmw.
Gari ina airbag 2 unailinganisha na gari yenye airbag 6 na kuendelea.