GoPPiii.
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 1,792
- 3,075
Sawa mume wa Kitenge.Elimu Yako TU imeshindwa kukusaidia mwandiko wangu anauelewa mke wangu TU basi ,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mume wa Kitenge.Elimu Yako TU imeshindwa kukusaidia mwandiko wangu anauelewa mke wangu TU basi ,
Mshahara wa Kitenge ni 1.3m baada ya makato.Umeliweka sawa..........ukiwa na mshahara wa 3m unaweza kukopeshwa gari kama hilo bila shida na beki yoyote sidhani kama kitenge hana mshahara kama huo
Mtoa mada ungekaa kimya ili watu wasijue kuwa wewe ni mjinga, ila kwa vile umeamua kusema basi a cha upigwe za uso tuSimfahamu kitenge kwa namna yoyote ! Lakini wahujumu uchumi waliokuwa wakineemeka na bandari yetu na wale wanaomiliki bandari kavu hapa dar ! Na wanyonyaji wote waliokuwa na maslahi na mfumo wa zamani wa bandari kwa Sasa wanajaribu kuwatumia vibaraka wao wa kwenye tweet na mitandao mbalimbali kuwasakama wale wote wanaounga mkono uwekezaji wa bandari yetu na kuwaona maadui ..kitenge ni mwandishi wa habari na alienda kule kujiridhisha na sio kuwafurahisha wanasiasa! Kilichompeleka kule ni kampuni yake yenye weledi mkubwa ya wasafi media ili wapate habari za uhakika , hayo hayana mahusiano na maisha binafsi ya kitenge. Acheni wivu wa kitoto kanunua gari kwa pesa yake Kila mtu atafute Hela akanunue gari yake hakuna wa kukuzuia ,tatizo lenu mtu akiwa kinyume na mawazo yenu mnamfanya adui huo ni utoto kwenye mambo ya msingi ..jadilini hoja ya msingi achaneni na maisha ya mtu binafsi
Simfahamu kitenge
Lakini wahujumu uchumi
wanaomiliki bandari kavu
Na wanyonyaji
kitenge ni mwandishi wa habari na alienda kule kujiridhisha
Humfahamu, ila Unawajua Wanyonyaji, wengine wanasema Wanamjua na amemeza fweza ila weye hutaki. Nani aaminiwe?Kilichompeleka kule ni kampuni yake yenye weledi mkubwa ya wasafi media ili wapate habari za uhakika
Pesa ndo inanunua gari na beki inahitaji dhamana, gari ndo dhama na ya huo mkopo.Benki inakopesha hela sio magari.
Hamnaga mfumo wa hivyo. Ukopeshwe hela ununue gari halafu hiyo gari ndio iwe dhamana ya mkopo?Pesa ndo inanunua gari na beki inahitaji dhamana, gari ndo dhama na ya huo mkopo.
Sidhani kama 1.3m ndo mshahara wake labda unao julikana.Mshahara wa Kitenge ni 1.3m baada ya makato.
Mmh!!!!!Hamnaga mfumo wa hiyo. Ukopeshwe hela ununue gari halafu hiyo gari ndio iwe dhamana ya mkopo?
Sijawahi kusikia.
Simfahamu kitenge kwa namna yoyote ! Lakini wahujumu uchumi waliokuwa wakineemeka na bandari yetu na wale wanaomiliki bandari kavu hapa dar ! Na wanyonyaji wote waliokuwa na maslahi na mfumo wa zamani wa bandari kwa Sasa wanajaribu kuwatumia vibaraka wao wa kwenye tweet na mitandao mbalimbali kuwasakama wale wote wanaounga mkono uwekezaji wa bandari yetu na kuwaona maadui ..kitenge ni mwandishi wa habari na alienda kule kujiridhisha na sio kuwafurahisha wanasiasa! Kilichompeleka kule ni kampuni yake yenye weledi mkubwa ya wasafi media ili wapate habari za uhakika , hayo hayana mahusiano na maisha binafsi ya kitenge. Acheni wivu wa kitoto kanunua gari kwa pesa yake Kila mtu atafute Hela akanunue gari yake hakuna wa kukuzuia ,tatizo lenu mtu akiwa kinyume na mawazo yenu mnamfanya adui huo ni utoto kwenye mambo ya msingi ..jadilini hoja ya msingi achaneni na maisha ya mtu binafsi
Duh..Ww ni mkewe tukuamini!?
AiseeToka walipohamasisha maandamano afu hawakutokea nikawaona Watz watu wa ajabu sana
Bongo lala ndio wanateseka Kwa hizi script za bongo muvii..Mtu yeyote anaeweka jina lake kwenye gari plate no namuona mshamba sana
[emoji23][emoji23]Unajua kusoma ila kuandika bado.
DP world wachukue na wizara ya elimu.
Naona umetumwa Kuja kutetea ujinga.Simfahamu kitenge kwa namna yoyote ! Lakini wahujumu uchumi waliokuwa wakineemeka na bandari yetu na wale wanaomiliki bandari kavu hapa dar ! Na wanyonyaji wote waliokuwa na maslahi na mfumo wa zamani wa bandari kwa Sasa wanajaribu kuwatumia vibaraka wao wa kwenye tweet na mitandao mbalimbali kuwasakama wale wote wanaounga mkono uwekezaji wa bandari yetu na kuwaona maadui ..kitenge ni mwandishi wa habari na alienda kule kujiridhisha na sio kuwafurahisha wanasiasa! Kilichompeleka kule ni kampuni yake yenye weledi mkubwa ya wasafi media ili wapate habari za uhakika , hayo hayana mahusiano na maisha binafsi ya kitenge. Acheni wivu wa kitoto kanunua gari kwa pesa yake Kila mtu atafute Hela akanunue gari yake hakuna wa kukuzuia ,tatizo lenu mtu akiwa kinyume na mawazo yenu mnamfanya adui huo ni utoto kwenye mambo ya msingi ..jadilini hoja ya msingi achaneni na maisha ya mtu binafsi
Umenena vyema Mkuu.Simfahamu kitenge kwa namna yoyote ! Lakini wahujumu uchumi waliokuwa wakineemeka na bandari yetu na wale wanaomiliki bandari kavu hapa dar ! Na wanyonyaji wote waliokuwa na maslahi na mfumo wa zamani wa bandari kwa Sasa wanajaribu kuwatumia vibaraka wao wa kwenye tweet na mitandao mbalimbali kuwasakama wale wote wanaounga mkono uwekezaji wa bandari yetu na kuwaona maadui ..kitenge ni mwandishi wa habari na alienda kule kujiridhisha na sio kuwafurahisha wanasiasa! Kilichompeleka kule ni kampuni yake yenye weledi mkubwa ya wasafi media ili wapate habari za uhakika , hayo hayana mahusiano na maisha binafsi ya kitenge. Acheni wivu wa kitoto kanunua gari kwa pesa yake Kila mtu atafute Hela akanunue gari yake hakuna wa kukuzuia ,tatizo lenu mtu akiwa kinyume na mawazo yenu mnamfanya adui huo ni utoto kwenye mambo ya msingi ..jadilini hoja ya msingi achaneni na maisha ya mtu binafsi
Simfahamu kitenge kwa namna yoyote ! Lakini wahujumu uchumi waliokuwa wakineemeka na bandari yetu na wale wanaomiliki bandari kavu hapa dar ! Na wanyonyaji wote waliokuwa na maslahi na mfumo wa zamani wa bandari kwa Sasa wanajaribu kuwatumia vibaraka wao wa kwenye tweet na mitandao mbalimbali kuwasakama wale wote wanaounga mkono uwekezaji wa bandari yetu na kuwaona maadui ..kitenge ni mwandishi wa habari na alienda kule kujiridhisha na sio kuwafurahisha wanasiasa! Kilichompeleka kule ni kampuni yake yenye weledi mkubwa ya wasafi media ili wapate habari za uhakika , hayo hayana mahusiano na maisha binafsi ya kitenge. Acheni wivu wa kitoto kanunua gari kwa pesa yake Kila mtu atafute Hela akanunue gari yake hakuna wa kukuzuia ,tatizo lenu mtu akiwa kinyume na mawazo yenu mnamfanya adui huo ni utoto kwenye mambo ya msingi ..jadilini hoja ya msingi achaneni na maisha ya mtu binafsi
Umehukumu waliotoa mawazo yao.Na wakati huohuo unaeleza haumjui Kitenge.Ukiitwa fala faragosi utakataa?Simfahamu kitenge kwa namna yoyote ! Lakini wahujumu uchumi waliokuwa wakineemeka na bandari yetu na wale wanaomiliki bandari kavu hapa dar ! Na wanyonyaji wote waliokuwa na maslahi na mfumo wa zamani wa bandari kwa Sasa wanajaribu kuwatumia vibaraka wao wa kwenye tweet na mitandao mbalimbali kuwasakama wale wote wanaounga mkono uwekezaji wa bandari yetu na kuwaona maadui ..kitenge ni mwandishi wa habari na alienda kule kujiridhisha na sio kuwafurahisha wanasiasa! Kilichompeleka kule ni kampuni yake yenye weledi mkubwa ya wasafi media ili wapate habari za uhakika , hayo hayana mahusiano na maisha binafsi ya kitenge. Acheni wivu wa kitoto kanunua gari kwa pesa yake Kila mtu atafute Hela akanunue gari yake hakuna wa kukuzuia ,tatizo lenu mtu akiwa kinyume na mawazo yenu mnamfanya adui huo ni utoto kwenye mambo ya msingi ..jadilini hoja ya msingi achaneni na maisha ya mtu binafsi